dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
Nimeshangaa jinsi vyombo vya habari vilivyo komalia habari za rushwa Arumeru. wanasema wamekamata watuhumiwa wa rushwa waliokuwa na nia ya sioi ashinde. Hii ndo moja ya sababu ya kumukata kama wana nia ya kumtoa. hakuna kinacho shindikana. Sioi asishangilie sana kwani hajavuka mto.