Kikwazo kilichobaki kwa Siyoi ni Takukuru

dubu

JF-Expert Member
Oct 18, 2011
3,495
3,458
Nimeshangaa jinsi vyombo vya habari vilivyo komalia habari za rushwa Arumeru. wanasema wamekamata watuhumiwa wa rushwa waliokuwa na nia ya sioi ashinde. Hii ndo moja ya sababu ya kumukata kama wana nia ya kumtoa. hakuna kinacho shindikana. Sioi asishangilie sana kwani hajavuka mto.
 
Hyo mtoto ana hela wampe nafasi kwa vile kuwa na hela ndiyo sera ya ccm. Acha tule hela za lowassa ati
 
Sakata linaendelea hata hivyo naamini ccm watatumia busara kuweka mgombea atakayeleta ushindi.
 
Siyoi hawezi kuwa mgombea sahihi kwa CCM ya sasa, hebu tungoje!
Naungana nawe T. 2015 kuwa Siyoi sio chaguo sahihi kwa sasa kwaajili ya Arumeru Mashariki,
HASA kama kuna mkono wa Lowasa nyuma yake.
Hivi msiba wa babake Siyoi wamemaliza matanga kweli? Inakuwaje leo yupo kwenye malumbano ya siasa wakati ndo majuzi tu tulikuwa na msiba wa babake. Kwani lazima Mbunge wa Arumeru Mashariki atoke kwenye familia yao?
Ndo maana nasema, kwa hili la msiba majuzi tu, na kama mkono wa Lowasa upo nyuma yake, Siyoi hafai kuwa mbunge wa Arumeru Mashariki kwa sasa. Atulie kwanza, muda bado upo.
Ni kwa sababu hiyo pia wenye akili wanaona Lowasa hafai kuwa Rais wa nchi hii, pamoja na kuanza kampeni ya chini kwa chini kupitia makanisani...
Sasa naanza kuona kuwa LOWASA ni mtu hatari sana... Najiuliza kwanini anautafuta URAIS kwa nguvu namna hii?
Hata kama bado hajatangaza nia hiyo...?
Wa kupinga hili apinge, lakini huhitaji kusoma mistari tu, ili uelewe ujumbe, bali hata katikati ya mistari...
 
There is a very highly classified conspirancy going on between JK and Lowassa. Ni vigumu sana kugundua katika hali ya kawaida, lakini ukweli ni kwamba JK is backing-up Lowassa in a very sophisticated way. Baada ya uchaguzi wa 2010 JK anajua wazi kuwa watanzania kwa asilimia kubwa wamemchoka, slogan zake hali mpya na nguvu mpya zilikuwa sanaa. Njia pekee anayoweza kumjenga Lowassa mpaka sasa ni kuonyesha hamtaki hata kidogo kwani anajua wazi kuwa watu wengi kwa kuwa wamemchoka watakuwa wanacounter attack maoni yake then watakuwa wakiwapenda wapinzani wake. Na kwa hii move jamaa wameanza kwa kucheza na flow vizuri mno. Hiyo ni michezo ya siasa tu, watu wanavyosema hawakukutana barabarani wana maana yao. Tega sikio 2015
 
There is a very highly classified conspirancy going on between JK and Lowassa. Ni vigumu sana kugundua katika hali ya kawaida, lakini ukweli ni kwamba JK is backing-up Lowassa in a very sophisticated way. Baada ya uchaguzi wa 2010 JK anajua wazi kuwa watanzania kwa asilimia kubwa wamemchoka, slogan zake hali mpya na nguvu mpya zilikuwa sanaa. Njia pekee anayoweza kumjenga Lowassa mpaka sasa ni kuonyesha hamtaki hata kidogo kwani anajua wazi kuwa watu wengi kwa kuwa wamemchoka watakuwa wanacounter attack maoni yake then watakuwa wakiwapenda wapinzani wake. Na kwa hii move jamaa wameanza kwa kucheza na flow vizuri mno. Hiyo ni michezo ya siasa tu, watu wanavyosema hawakukutana barabarani wana maana yao. Tega sikio 2015

100% nakubaliana na wewe manake kuna picha ya kihindi inachezwa na hawa maswahiba wawili watu hawajajua. Mtu wakuja kumlinda JK asibuguthiwe ni Lowasa peke yake. Nilishangaa pale JK alipowagomea CCM kumfukuza Lowasa kwenye chama. Hapa wanakitu wanafanya chini kwa chini.
 
There is a very highly classified conspirancy going on between JK and Lowassa. Ni vigumu sana kugundua katika hali ya kawaida, lakini ukweli ni kwamba JK is backing-up Lowassa in a very sophisticated way. Baada ya uchaguzi wa 2010 JK anajua wazi kuwa watanzania kwa asilimia kubwa wamemchoka, slogan zake hali mpya na nguvu mpya zilikuwa sanaa. Njia pekee anayoweza kumjenga Lowassa mpaka sasa ni kuonyesha hamtaki hata kidogo kwani anajua wazi kuwa watu wengi kwa kuwa wamemchoka watakuwa wanacounter attack maoni yake then watakuwa wakiwapenda wapinzani wake. Na kwa hii move jamaa wameanza kwa kucheza na flow vizuri mno. Hiyo ni michezo ya siasa tu, watu wanavyosema hawakukutana barabarani wana maana yao. Tega sikio 2015

belive me, kikwete hawezi kufikiria kama unavofikiria,wale wanachuki za kweli.
 
Nimeshangaa jinsi vyombo vya habari vilivyo komalia habari za rushwa Arumeru. wanasema wamekamata watuhumiwa wa rushwa waliokuwa na nia ya sioi ashinde. Hii ndo moja ya sababu ya kumukata kama wana nia ya kumtoa. hakuna kinacho shindikana. Sioi asishangilie sana kwani hajavuka mto.

Kuna mwanaume alosimamishwa na cdm hatoweza kukabiliana nae kamwe
 
Naungana nawe T. 2015 kuwa Siyoi sio chaguo sahihi kwa sasa kwaajili ya Arumeru Mashariki,
HASA kama kuna mkono wa Lowasa nyuma yake.
Hivi msiba wa babake Siyoi wamemaliza matanga kweli? Inakuwaje leo yupo kwenye malumbano ya siasa wakati ndo majuzi tu tulikuwa na msiba wa babake. Kwani lazima Mbunge wa Arumeru Mashariki atoke kwenye familia yao?
Ndo maana nasema, kwa hili la msiba majuzi tu, na kama mkono wa Lowasa upo nyuma yake, Siyoi hafai kuwa mbunge wa Arumeru Mashariki kwa sasa. Atulie kwanza, muda bado upo.
Ni kwa sababu hiyo pia wenye akili wanaona Lowasa hafai kuwa Rais wa nchi hii, pamoja na kuanza kampeni ya chini kwa chini kupitia makanisani...
Sasa naanza kuona kuwa LOWASA ni mtu hatari sana... Najiuliza kwanini anautafuta URAIS kwa nguvu namna hii?
Hata kama bado hajatangaza nia hiyo...?
Wa kupinga hili apinge, lakini huhitaji kusoma mistari tu, ili uelewe ujumbe, bali hata katikati ya mistari...

Laiti kama angejua hata baba yake arudi leo na akagombea kupita ccm hatoweza kushinda asingejisumbua namna hiyo
 
There is a very highly classified conspirancy going on between JK and Lowassa. Ni vigumu sana kugundua katika hali ya kawaida, lakini ukweli ni kwamba JK is backing-up Lowassa in a very sophisticated way. Baada ya uchaguzi wa 2010 JK anajua wazi kuwa watanzania kwa asilimia kubwa wamemchoka, slogan zake hali mpya na nguvu mpya zilikuwa sanaa. Njia pekee anayoweza kumjenga Lowassa mpaka sasa ni kuonyesha hamtaki hata kidogo kwani anajua wazi kuwa watu wengi kwa kuwa wamemchoka watakuwa wanacounter attack maoni yake then watakuwa wakiwapenda wapinzani wake. Na kwa hii move jamaa wameanza kwa kucheza na flow vizuri mno. Hiyo ni michezo ya siasa tu, watu wanavyosema hawakukutana barabarani wana maana yao. Tega sikio 2015

some how your right & u think great
 
100% nakubaliana na wewe manake kuna picha ya kihindi inachezwa na hawa maswahiba wawili watu hawajajua. Mtu wakuja kumlinda JK asibuguthiwe ni Lowasa peke yake. Nilishangaa pale JK alipowagomea CCM kumfukuza Lowasa kwenye chama. Hapa wanakitu wanafanya chini kwa chini.

Kugoma asivuliwe gamba alihofia kwani richmond ilikuwa inamhusu jk kwa kiasi kikubwa
 
Naungana nawe T. 2015 kuwa Siyoi sio chaguo sahihi kwa sasa kwaajili ya Arumeru Mashariki,
HASA kama kuna mkono wa Lowasa nyuma yake.
Hivi msiba wa babake Siyoi wamemaliza matanga kweli? Inakuwaje leo yupo kwenye malumbano ya siasa wakati ndo majuzi tu tulikuwa na msiba wa babake. Kwani lazima Mbunge wa Arumeru Mashariki atoke kwenye familia yao?
Ndo maana nasema, kwa hili la msiba majuzi tu, na kama mkono wa Lowasa upo nyuma yake, Siyoi hafai kuwa mbunge wa Arumeru Mashariki kwa sasa. Atulie kwanza, muda bado upo.
Ni kwa sababu hiyo pia wenye akili wanaona Lowasa hafai kuwa Rais wa nchi hii, pamoja na kuanza kampeni ya chini kwa chini kupitia makanisani...
Sasa naanza kuona kuwa LOWASA ni mtu hatari sana... Najiuliza kwanini anautafuta URAIS kwa nguvu namna hii?
Hata kama bado hajatangaza nia hiyo...?
Wa kupinga hili apinge, lakini huhitaji kusoma mistari tu, ili uelewe ujumbe, bali hata katikati ya mistari...

utumbo wa bata
 
There is a very highly classified conspirancy going on between JK and Lowassa. Ni vigumu sana kugundua katika hali ya kawaida, lakini ukweli ni kwamba JK is backing-up Lowassa in a very sophisticated way. Baada ya uchaguzi wa 2010 JK anajua wazi kuwa watanzania kwa asilimia kubwa wamemchoka, slogan zake hali mpya na nguvu mpya zilikuwa sanaa. Njia pekee anayoweza kumjenga Lowassa mpaka sasa ni kuonyesha hamtaki hata kidogo kwani anajua wazi kuwa watu wengi kwa kuwa wamemchoka watakuwa wanacounter attack maoni yake then watakuwa wakiwapenda wapinzani wake. Na kwa hii move jamaa wameanza kwa kucheza na flow vizuri mno. Hiyo ni michezo ya siasa tu, watu wanavyosema hawakukutana barabarani wana maana yao. Tega sikio 2015
Hadithi hii kakufundisha nani? Na kakwambia ina maana gani?
 
Huyo mtoto ana hela wampe nafasi kwa vile kuwa na hela ndiyo sera ya CCM. Acha tule hela za lowassa ati

Mie nadhani apewe nafasi huyu kwa sababu Anne Makinda amweripoti kuwa wabunge wengi HAWANA FWEZA! Yaani: NI MASIKINI. Huyu akikipata hikyo kiti atapunguza mzigo wa kudai posho IONGEZWE!
 
Naona kuna watu hawaelewi hii movie ya el, au hawamuelewi el vizuri, na hata hawaelewi uhusiano uliopo kati ya el na Jk. Subirini 2015, lakini pia najua kuna wachache ambao hapa jf wanaelewa vizuri hii movie lakini wanapochangia, kuna wengine huropoka kwa sababu tuu hawampendi el hata kusikia tuu. The fact is, 2015 rais akiwa el mtafanyaje?
Kazi ni kwenu
:A S 465:
 
belive me, kikwete hawezi kufikiria kama unavofikiria,wale wanachuki za kweli.

Mkuu uko sahihi sana. Hawa jamaa bifu lao ni la wazi na wala hamna picha ya kihindi. Kwa waliomuona EL kipindi hiki, yuko weak kiaina, sio yule mpambanaji tuliyemzoea.Nadhani wameshammwakyembe kwa style nyingine
 
Na takukuru nao wasishangilie kwani punde huyo anayewatuma hatakuwa madarakani. Na hakika maandiko yatatimia ya kuwa jiwe waliloliacha waashi ndilo jiwe kuu la pembeni na yeyote atakayejikwaa kwalo atavunjikavunjika.
Nimeshangaa jinsi vyombo vya habari vilivyo komalia habari za rushwa Arumeru. wanasema wamekamata watuhumiwa wa rushwa waliokuwa na nia ya sioi ashinde. Hii ndo moja ya sababu ya kumukata kama wana nia ya kumtoa. hakuna kinacho shindikana. Sioi asishangilie sana kwani hajavuka mto.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom