Kikundi cha wahalifu nchini Uingereza kinachojihusisha na wizi wa magari kwa kutumia kifaa cha michezo (game boy)

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
7,581
15,722
Nchini Uingereza imeweza kuwa kamata wahalifu wanaojiusisha na wizi wa magari hasa yale magari yanayo tumia funguo za rimoti.

vijana walio kamatwa ni Armer, 29, Bowes, 33, and Poulson, 31, baada ya kukutwa na gari aina ya Mitsubishi Outlander ambayo ilishakwisha tolewa ripoti ya kuibiwa usiku yake.

IMG_1254.jpg


Baada ya kuwaoji ndipo walipoweka wazi kuhusu mbinu wanayotumia kwenye kifaa cha michezo ambacho kimeongezewa mifumo ambayo si rahisi kutambua hata ukiwakamata.

NOTE:
Kuna mada nilishajaribu kueleza mbinu za kiharifu za wizi wa magari hasa haya rimoti.

Serikali na idara ya polisi wasipokuwa makini wa kutambua vifaa vinavoingia na kutoelewa matumizi yake basi ni hatari.

Hizi ni moja tu sample.

IMG_1257.jpg


IMG_1256.jpg

IMG_1255.jpg
 
Sample zengine za kutambua mawimbi ya aina gani.

Hii mpaka simu unaweza kusiliza, kujua gari inatumia frequency hipi.

IMG_1258.jpg
 
kifaa hiki kinaitwa cellebrite.
mara nyingi ni kwa vyombo vya usalama pale wanapopata simu ya muharifu au mtuhumiwa ili kupata ushaidi.
ndani ya simu
IMG_1263.jpg

IMG_1262.jpg
 
hiki kinaitwa flipper
kazi maalumu kinaweza kuclone kama card za kufungulja milango yoyote na mageti
IMG_1266.jpg

IMG_1265.jpg

IMG_1264.jpg
 
Kujiwekea ulinzi kwa njia za kielectronic ni rahis sana kuibiwa kielectronic pia.. we weka ulinzi wa electronic na ule wa kizamani yaani mbwa walinzi na ukiweza hata hata wa kichawi ili uishi salama...kwa style hii moja au mbili zikfeli basi walau moja itadhibiti.
 
Wasije wakagundua wezi wetu huku bongo,mbona tutaibiwa mpaka tukome...
 
penye kila jambo jema pembeni yake lipo la uharibifuuu ... Mathayo 13:30
 
Back
Top Bottom