brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,876
- 7,366
Kocha wa timu ya taifa stars Kim Poulsen ameteua wachezaji 32 kwa ajili ya mechi ya kirafiki dhidi ya Kenya na atachuja wachezaji hao kupaki nao 20 watakaoenda kucheza michuano ya CECAFA nchini Kenya. Katika kikosi hicho akuna mchezaji wowote wa Mbeya City.
Makipa: aishi Manola(azam), Deo Munishi,ally mustafa(wote yanga), Ivo mapunda(gor mahia).
Mabeki: Agress moris, Ismail gambo na said morad(wote azam), Kelvin yondan,nadir haroub(wote yanga), michael pius(Ruvu shooting).
Viungo wakabaji: Erasto nyoni, Himdi mao, sure boy(wote azam), shomari kapombe(Ac Cannes), vicent barbanas(mtibwa), frank domayo,athuman iddy(wote yanga), said dilunga(ruvu shootin), willium lucian, jonas mkude(wote simba).
Viungo washambuliaji: Amri kiemba, haruna chanongo,ramadhan singano(wote simba), mrisho ngassa, simon msuva(wote yanga), farid mussa, joseph kimwaga(wote azam), mwinyi kazimoto(markhiya, Qatar).
Washambuliaji: mbwana sammata, thomas ulimwengu(wote Tp Mazembe), Elias maguli(ruvu shooting) na juma liuzio(mtibwa sugar)
Makipa: aishi Manola(azam), Deo Munishi,ally mustafa(wote yanga), Ivo mapunda(gor mahia).
Mabeki: Agress moris, Ismail gambo na said morad(wote azam), Kelvin yondan,nadir haroub(wote yanga), michael pius(Ruvu shooting).
Viungo wakabaji: Erasto nyoni, Himdi mao, sure boy(wote azam), shomari kapombe(Ac Cannes), vicent barbanas(mtibwa), frank domayo,athuman iddy(wote yanga), said dilunga(ruvu shootin), willium lucian, jonas mkude(wote simba).
Viungo washambuliaji: Amri kiemba, haruna chanongo,ramadhan singano(wote simba), mrisho ngassa, simon msuva(wote yanga), farid mussa, joseph kimwaga(wote azam), mwinyi kazimoto(markhiya, Qatar).
Washambuliaji: mbwana sammata, thomas ulimwengu(wote Tp Mazembe), Elias maguli(ruvu shooting) na juma liuzio(mtibwa sugar)