Waliotaka page nyingi walitaka kuanzia ngapi?
JE wanaofurahia muafaka huu wa kuanzia wanashabikia chama au maendeleo ya nchui?
Wanaoshabikia CDM kukubaliana, walitegmea kuwa walioenda kule walienda kugombana na na kuhakikisha kuwa hawajadiliani kwa muafaka?
Mie niko confused.
kwani nilivyokuwa nawaza mie katika majadiliano, mtu unapokuwa unataka kujadili jambo, kurudi mezani, kupata forum, tayari umekuwa tayari wa kupoteza baadhi na kupata baadhi,
sasa unapotegemea kwenda kwenye mazungumzo, ili wewe hoja zako zote ndio ziwe halali, yani umbadili mwenzako 100% akuunge mkono, nahisi huwezi kuita hiyo meza ya majadiliano kutafuta muafaka,
Mimi naomba niwapongeze wote walioenda kwenye huo mjadala, walivyoweza kuieleza, na walivyoweza kuonyesha umuhimu wa hoja zao,
Tanzania kwa hili tumepiga hatua,
sasa tuendelee na kipengele ambacho pia kinatupa shida sana, UTEKELEZAJI, wanapofika wale wataalamu wetu wa kuchambua yaliyosainiwa na viongozi, ili kuyaweka katika action plan inayotekelezeka,
Nawatakia mafanikio mema kwa ajili ya Tanzania yetu
Kwa sasa tujue Rais ana nguvu ya dola, ni nguvu kubwa na tunaiheshimu, na CDM wana nguvu ya watu wengi kiasi cha kutosha, wako na wakati, pia tunaheshimu hilo
Pia Rais anaelemewa na hitoria ya CCM, ukosefu wa imani kutoka kwa watu wengi, CDM wanaelemewa na historia ya kutokuaminiwa kwani hawajapata madaraka wakaonekana wanvyofanya kazi
ktk aslahi ya nchi, Utanzania sio jinsiasi ccm wala chadema hawakuwa na uwakilkishi wa wanawake.........................kureketwa wa jinsia umepotelea wapi?
Sheria itaboreshwa kivipi wakati imepitishwa na bunge? Ina maana itarudishwa tena bungeni kufanyiwe marekebisho? Wananchi wanataka kufahamu wazi wazi nini kinaendelea baada ya haya mazungumzo.
Hao waliosoma mbona wame pitisha vitu vya hovyo mpaka mkulu wa boma anakubali kuwa kuna marekebisho, acha ushabiki wa kijinga!!!!!!!!
MAKUBALIANO HAYA HAPA CHINI:
CDM ni chama makini, wana focus na vision ya Tanzania hii kwa miaka zaidi ya 200 sina wasiwasi kwa hilo, wapo kutetea wananchi wanyonge kama sisi.CDM ikaendelea kuacha ombwe la habari litajazwa na uvumi. CHADEMA ISIPOKUWA MAKINI HII INAWEZA KUWA HATUA MOJA NYUMA.