salimkabora
JF-Expert Member
- Nov 10, 2012
- 2,441
- 651
Endelea kujifariji lakini mambo yote jumatatu,wezi wote watajulikana! Ccm lazima ife,mikakati yao imeshachelewa!
Nchi hii hakuna upinzani bana hizo ni escrow tu za kupigia mpunga; tungekuwa na upinzani wa kweli mbona hiyo sisiem ingeshang'oka mda mrefu sana hao ndio walewale tu. Nyerere alishasema upinzani wa kweli utapatikana kama sisiem itagawanyika wale wazalendo kama kina mzee Warioba ndio pekee wanaweza kuisaidia hii nchi kama watatoka mle