Na huduma za afya zipo, Kuna zahanati.naota nadanganywa:
1. Watu wanaoishi mwambao wa ziwa wengi wao wanajua kuogelea, chombo kubinuka si waranti ya kifo;
2. Injini kuzimika si lazima chombo kibinuke; na
3. Si rahisi kwa kayta nzima kuingia katika chombo ati kufanya matembezi, hizo ni shughuli za vijana wadogo.
TUENDELEE
Kwani wewe huamini Kwamba uchawi upo?Wabongo wengi wanapenda kuamini uchawi.
Wengine hata kipindupindu wanaita uchawi.
Sio kwamba siamini tu.Kwani wewe huamini Kwamba uchawi upo?
naota nadanganywa:
1. Watu wanaoishi mwambao wa ziwa wengi wao wanajua kuogelea, chombo kubinuka si waranti ya kifo;
2. Injini kuzimika si lazima chombo kibinuke; na
3. Si rahisi kwa kayta nzima kuingia katika chombo ati kufanya matembezi, hizo ni shughuli za vijana wadogo.
TUENDELEE
[/QUOTE mleta uzi hajarudi 😂😂😂😂
Nikikuletea mganga akakugeuza kuwa kuku ..bado hutoamini tu??Sio kwamba siamini tu.
Sitaki kuamini. Nataka kujua.
Uchawi ni nini?
Mababu zetu walioishi miaka 200 iliyopita, wangeona TV, ndege, internet wangeita uchawi. Ila ni teknolojia tu ambazo hawakuzijua.
Unajuaje unachofikiri ni uchawi leo, ni uchawi kweli na si kitu kingine tu usichokijua?
Sitoamini, kama mtu anayegeuzwa kuwa kuku ana uwezo wa kujua hilo, nitajua.Nikikuletea mganga akakugeuza kuwa kuku ..bado hutoamini tu??
Mkuu. Ageuzwe awe Dem halafu awe kwenye siku zake kwa siku tatu.Nikikuletea mganga akakugeuza kuwa kuku ..bado hutoamini tu??
Uchawi upo mkuu,Shida wewe unataka uthibitisho wa kisayansi kitu ambacho wachawi wenyewe bado hawawezi kukielezea,Ndo mana zinaitwa nguvu za giza,usipoamini kuna uchawi basi hata uwepo wa MUNGU Na shetani hauuaminiSio kwamba siamini tu.
Sitaki kuamini. Nataka kujua.
Uchawi ni nini?
Mababu zetu walioishi miaka 200 iliyopita, wangeona TV, ndege, internet wangeita uchawi. Ila ni teknolojia tu ambazo hawakuzijua.
Unajuaje unachofikiri ni uchawi leo, ni uchawi kweli na si kitu kingine tu usichokijua?
Nimeuliza swali ambalo hujalijibu.Uchawi upo mkuu,Shida wewe unataka uthibitisho wa kisayansi kitu ambacho wachawi wenyewe bado hawawezi kukielezea,Ndo mana zinaitwa nguvu za giza,usipoamini kuna uchawi basi hata uwepo wa MUNGU Na shetani hauuamini
Kuna Uzi nilianzisha uku nilijaribu kuuelezea kwamba hakuna miujiza Bali ni akili haiwez kutambuaSio kwamba siamini tu.
Sitaki kuamini. Nataka kujua.
Uchawi ni nini?
Mababu zetu walioishi miaka 200 iliyopita, wangeona TV, ndege, internet wangeita uchawi. Ila ni teknolojia tu ambazo hawakuzijua.
Unajuaje unachofikiri ni uchawi leo, ni uchawi kweli na si kitu kingine tu usichokijua?
Kwa mtu ambaye haelewi mchezo wa karata tatu, mchezo wa karata tatu anaweza kuuita ni muujiza au uchawi.Kuna Uzi nilianzisha uku nilijaribu kuuelezea kwamba hakuna miujiza Bali ni akili haiwez kutambua