Kijiwazo cha leo

Dec 11, 2010
3,321
6,328
Anayeweza kukataa kuwa sasa hivi nchi yetu ina viongozi wenye fikra chovu na walio lewa na kuvimbiwa madaraka kuliko wakati wowote wa historia ya taifa hili atakuwa hana tofauti na mwenye nyumba anae dhibiti au kuziba
mashimo ya panya kwa vipande vya mikate, Halafu anatoka barazani na kuketi kwenye kiti cha uvivu huku akijisifu na kujifariji kwa kunywa mvinyo wa zabibu.
 
Mkuu unamuongelea Pinda! wala hujakosema PM eti ana a.k.a ulishawahi kusikia wapi hii?
a.k.a eti mtoto wa mkulima to me is (kigeugeu)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom