Hivi vijijini hakuna popobawas?
View attachment 56360
jamaa anapiga usingizi baada ya kinywaji,hapo hakuna cha kuogopa zaidi ya nyoka.
na fisi je, we hujasikia mtu kapiga monde mpaka kaliwa na fisi, teh teh.
He has no drinking problems, he drinks, he gets drunk, he falls down, there is no problem!
Ingekuwa mjini wangesha msachi.
kalewa ulanzi huyo.
Mkuu nilimuona katika kundi hili akigida kwa raha zake, sikutegemea kwamba matokeo yake yangekuwa hivikijijini jioni hakuna lakufanya.
ni ngono na kinywaji kwenda mbele.