Kijana umejitunza sana where is your happy ending? Is there a happy ending for real?

CONTRADICTION! DING DONG!!!!!!!!!!!!11 TITITIIIIIIIIIIIIIIIII! CASE STUDY, Wema Sepetu, MRS Aunty Ezekiel Sunday, MRS Irene Ndikumaa, ET AL! AU WANAOTOKA NAO NI WANAWAKE WALE NDANI YA SURUALI??????? Hao ni maarufu tu ambao nikitaja ina ring a bell, acha hawa kina MWAJUMA NDALA NDEFU TULIO NAO STREETS.

MAPENZI NI ZAIDI YA UYAJUAVYO!!!!!!!!!!!!! Mkitakacho wanaume HAKIKO CONSTANT ASILANI! Ukiwa BROKE A.SS UTATAKA MWANAMKE FAITHFUL WASIKUMEGEE, UKIWA LOADED UTATAKA TALK OF THE TOWN AENDANE NA CALIBER YAKO KUKUWEKA KWENYE RAMANI YA JIJI, UKITOKA KIMAISHA JUMLA JUMLA UTATAKA THE WOMAN OF YOUR DREAMS HATA KAMA ITABIDI UMCHOMOE KWA MUMEWE! LIFE IS REALLY A BI.TCH.

Kadri ukuavyo utaelewa naongelea nini.

Hao wote uliowataja
Hebu walinganishe na hawa hapa
1. Faraja Kota
2. Hoyce Temu
3. Jackline Ntuyabaliwe


Unaona wanalingana? Mwanaume anajielewa, status yake itakuwa reflected with the woman he is hooked up with. Watu wakiona mume ni chapombe kupindua huwa hawamshangai mke wake, zaidi zaidi watamsifu kwa uvumilivu.... leo mwanaume awe na mke anashinda bar na kurudi asubuhi atadharaurika hata na watoto.

The bottom line is.... kwa mwanaume status ya mke/mwanamke wake in the society ina matter kuliko unavyodhani. Leo hii Zitto Kabwe akamuoe Wema si kila mtu atashangaa. Janamke linalotembeza ------ yake stejini usiku kucha, mwanaume mwenye akili zake hawezi kutaka kuonekana nae hadharani.
 
Hivi na wanaume nao wanajitunza kweli??

Najiuliza tu hili swali.
tian, nimekusoma hapo chini...
Kujitunza kuna jinsia??
Kwani anayejitunza anatunza nini hasa??
 
Last edited by a moderator:
Fustration mbaya wazee. hapa ni kumuomba Mungu akusamehe tu uendelee kuishi vyema. MaanA si wakutambika wala wa msikitiNI wala kanisani wanasema Ngono ni kitu kizuri. MaanA hata kutambika ukiwa ni mngonokaji watakwambia we una nuksi KAJISAFISHE. JIANGALIE.
 
Hao wote uliowataja
Hebu walinganishe na hawa hapa
1. Faraja Kota
2. Hoyce Temu
3. Jackline Ntuyabaliwe


Unaona wanalingana? Mwanaume anajielewa, status yake itakuwa reflected with the woman he is hooked up with. Watu wakiona mume ni chapombe kupindua huwa hawamshangai mke wake, zaidi zaidi watamsifu kwa uvumilivu.... leo mwanaume awe na mke anashinda bar na kurudi asubuhi atadharaurika hata na watoto.

The bottom line is.... kwa mwanaume status ya mke/mwanamke wake in the society ina matter kuliko unavyodhani. Leo hii Zitto Kabwe akamuoe Wema si kila mtu atashangaa. Janamke linalotembeza ------ yake stejini usiku kucha, mwanaume mwenye akili zake hawezi kutaka kuonekana nae hadharani.

klynn nae mfano wa kuigwa eeh...mabwakuuu,
 
Hao wote uliowataja
Hebu walinganishe na hawa hapa
1. Faraja Kota
2. Hoyce Temu
3. Jackline Ntuyabaliwe


Unaona wanalingana? Mwanaume anajielewa, status yake itakuwa reflected with the woman he is hooked up with. Watu wakiona mume ni chapombe kupindua huwa hawamshangai mke wake, zaidi zaidi watamsifu kwa uvumilivu.... leo mwanaume awe na mke anashinda bar na kurudi asubuhi atadharaurika hata na watoto.

The bottom line is.... kwa mwanaume status ya mke/mwanamke wake in the society ina matter kuliko unavyodhani. Leo hii Zitto Kabwe akamuoe Wema si kila mtu atashangaa. Janamke linalotembeza ------ yake stejini usiku kucha, mwanaume mwenye akili zake hawezi kutaka kuonekana nae hadharani.
Usitake niongee ya watu mie! hamna wa maana hapo ukiwajua kiundani.
 
Fustration mbaya wazee. hapa ni kumuomba Mungu akusamehe tu uendelee kuishi vyema. MaanA si wakutambika wala wa msikitiNI wala kanisani wanasema Ngono ni kitu kizuri. MaanA hata kutambika ukiwa ni mngonokaji watakwambia we una nuksi KAJISAFISHE. JIANGALIE.

NAONA UMEJIVIKA U MUNGU WAHUKUMU NAWE YAKHEEEEEEEEEEE? Kila lakheri.
 
inavyooneka ndio wale wa degree na masters za chupi juzi nimetoka kumpa mmoja barua ya job termination anachafua ofice anangonoka hadi maala pa kazi

Kampuni za mfukoni unakuwa terminated ovyo ovyo hamna hata company policy! Hahahaaaaaaaaa! halooooooo!
 
klynn nae mfano wa kuigwa eeh...mabwakuuu,

Tabia zake mi sizijui bado image yake huwezi ukaifananisha na kina Wema Sepetu. Unaweza ukataja mtu yoyote kwenye jamii who is well respected ambaye umewahi kumuona akitoka na Wema hadharani.... I mean officially, ukiachana na wasanii wenzake.

Narudia tena, a woman is a reflection of her man personality. Kama hao niliwataja hapo wana matatizo yao lakini under the carpet. Ukiachana na baadhi ya vituko vya Klyn, hao wengine sijawahi kuvisikia ever.
 
Usitake niongee ya watu mie! hamna wa maana hapo ukiwajua kiundani.
I dont mean that they are clean, not at all. It's their image that men really care about, undani wa tabia zao wanaujua wenzi wao, kama wana migogoro huko sisi hatuwezi kuona.... ila the image is clean. That is what matters....

Kale kamsemo ka "Women want men with great future, men want women with great past" una ukweli sana dada.
 
Tabia zake mi sizijui bado image yake huwezi ukaifananisha na kina Wema Sepetu. Unaweza ukataja mtu yoyote kwenye jamii who is well respected ambaye umewahi kumuona akitoka na Wema hadharani.... I mean officially, ukiachana na wasanii wenzake.

Narudia tena, a woman is a reflection of her man personality. Kama hao niliwataja hapo wana matatizo yao lakini under the carpet. Ukiachana na baadhi ya vituko vya Klyn, hao wengine sijawahi kuvisikia ever.

hahhah the number 1 golddigger .ukilinganisha na wema ulichosema kina point,mana bidada vurugu kibao ..ila speaking of klyn,je waweza mshauri mwanao aolewa na a man mwenye umri km baba ake...?sema ndo vile yote maisha,,,,anafaidijeee saivi mamilioni ya buree...
 
This is one of the worst posts I have read in MMU. Hivi huyu kweli anaweza kuwa mama watoto nyumbani akawalea kwa maadili mazuri? au vitoto vidogo vitaanza kugegedwa na kupigwa kabang mapema. Ata kama ana MBA hii ni akili ya mtu aliyekata tamaa ikiwezekana ameuza sana papuchi sasa imefika mwisho wanaume hawamtaki anawaonea wivu wenzie waliojitunza ndo maana anatoa ushauri mchafu kama huu. Nimechukia sana hata kama ndo uhuru wa kutoa maoni alichokiandika hakiendani na maadili mema ya mtanzania. kugawa papuchi hovyo kunashusha heshima sana ya mwanamke asikwambie mtu na ni mikosi na laana na hizo ni rekodi zisizofutika hadi wanao na vijukuu vitajua na kusikitika na hutokuwa na heshima. ushauri wangu kwako kama unagawa sana endelea kugawa lakini usiwadanganye wenzio kuwaingiza kwenye dhambi utapata laana wewe.
 
hahhah the number 1 golddigger .ukilinganisha na wema ulichosema kina point,mana bidada vurugu kibao ..ila speaking of klyn,je waweza mshauri mwanao aolewa na a man mwenye umri km baba ake...?sema ndo vile yote maisha,,,,anafaidijeee saivi mamilioni ya buree...

kama ungekuwa wewe badiebey ungekataa kuolewa na huyo mzee??? kuna kosa lolote kimaadili kuolewa na mtu alikuzidi umri mkubwa kiasi hicho?? angekuwa mwanangu as long he is happy with the man then i wouldnt mind
 
Last edited by a moderator:
Ofcourse dk...hakuna sababu ya kujichakaza bila faida..I hv some friends wanaenjoy kudate hovyo hovyo..mpk watu wa mitandaoni ambao ht huwajui wanadate nao..ukiuliza nini.?? Anakuambia this is life darling enjoy to the fullest....ktk kitu ambacho sipendi na siienjoy ni kuvulia nguo hovyo wanaume..ni kujitia aibu kwanini kila mtu akujue...?? Surprisingly now wanahitaji kuwa ktk serious relationship cz age imesonga na hawapati hizo serious relnship...sababu ni kwamba hawakutaka kupoteza mda na kudate mtu mmoja for future purposes...me walinicheka sana kisa nini nadate mtu mmoja for long tym..wakt wao in a year amepitia wa3..au zaidi ukiuliza just for fun...sometymz ukifanya kitu lazma uwaze na mbeleni..how will it cost u
Huyo mtu mmoja uliye-date for long time hukumvulia nguo? Au kwa kuwa ilikuwa ni "for future purpose" hakuna shida?
 
This is one of the worst posts I have read in MMU. Hivi huyu kweli anaweza kuwa mama watoto nyumbani akawalea kwa maadili mazuri? au vitoto vidogo vitaanza kugegedwa na kupigwa kabang mapema. Ata kama ana MBA hii ni akili ya mtu aliyekata tamaa ikiwezekana ameuza sana papuchi sasa imefika mwisho wanaume hawamtaki anawaonea wivu wenzie waliojitunza ndo maana anatoa ushauri mchafu kama huu. Nimechukia sana hata kama ndo uhuru wa kutoa maoni alichokiandika hakiendani na maadili mema ya mtanzania. kugawa papuchi hovyo kunashusha heshima sana ya mwanamke asikwambie mtu na ni mikosi na laana na hizo ni rekodi zisizofutika hadi wanao na vijukuu vitajua na kusikitika na hutokuwa na heshima. ushauri wangu kwako kama unagawa sana endelea kugawa lakini usiwadanganye wenzio kuwaingiza kwenye dhambi utapata laana wewe.

HAHAHAHAAAAAAAAAAAA! LIKE YOUR OPINION MATTERS! Anyway wapi nimesema GAWENI PAPUCHI? IM ONLY RESPONSIBLE FOR WHAT I HAVE WRITTEN NOT WHAT YOU UNDERSTOOD BY READING IT! Hamna mtu nimemshikia BAKORA afanye lolote. ITS A FREE COUNTRY AFTER ALL!
 
Dude PLEASEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!! Dont be so SENTIMENTAL!!!!!!!!!!! I wish ingekuwa MNAWATUMIA NDIVO SIVO WAACHIAJI TU! BUT THE TRUTH IT HATA TIGHT A.SS WANAKUWA PLAYED A LOT OF TIMES!!!!!!!! MORE OFTEN THAN EXPERIENCED PROs.

and HOW DO YOU EXPLAINVICHEHCE WALIO OLEWA NA TIGHT A.SS WALIOKOSA WENZA??????? I DIDNT THINK SO TOO.

NEXT PLEASEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!
Lara 1 huwa nakupendaje? Una akili sana na ucharuko kidooogo. Nilikuwa natembelea humu kama mgeni tu kwa miaka kama miwili sasa; leo nimeamua kujiunga nanyi rasmi. Nawapenda wote humu ila kuna wanaonivutia zaidi. Lara mmojawapo; wengine nitaendelea kuwaambia kadri muda utakavyoruhusu.
 
Namasteeeee!

Kuna ile dhana ya kijana jitunze usikurupukie mamb, jipange, utajutia baadae. tulia dada/kaka hadi baadae. basi unakuta mtu tight a.ss, no man/woman is good enough for them, they are reserving themselves for future when the right man comes along! seriously gambling with fate and the future!

The million dollar question is " is the happy ending for real" like come on! being in the future myself for some time, wale tight a.ss wa enzi zangu sijaona happy ending yoyote. Wala happily ever after!1

Not that sisi tuliokuwa mikurubembe, mi dada la dada tuna happy ending yoyote, ila the way I see it we deserve the karma! considering we cashed our happy ending wherever it crossed in our territory not that we owe life any debts.

Lakini wale wenzetu they somehow deserve better! karma is a bi.tch afterall. minawaambiaga madogo dont expect too much from life! ishi uishivo ili usiwe na regrets. Nothing is guaranteed! just live your life to the fullest.

Kuna wale watulivu wa zamani, maisha yanawapeleka peleka, now that wamegonga 30 n above bila bila, wengine divorced, wengine ndoa tia maji tia maji, mushkeli mtupuuu. Wanabakia enzi zangu mwanaume hanigusi mimi hadi nilivoamua kuolea na baba flani. Baba flai mwenyewe anamfuja tu hapo nyumbani, cha kuonesha alichokipata hamna hamna, mume shoti, shoti! wasikilizaji tunabakia kupiga mihayo tu. unakuta kaka alijitlizaa mke aliempata sasa weeeee!

I,m just observing life from a different perspective. simaanishi vijana mujachie, sababu happy ening hakuna, ishini ishii tu hivo hivo. ila dont expect so much in this life. normal is over rated these days!

over kama mmenisoma!

CONTRADICTION! DING DONG!!!!!!!!!!!!11 TITITIIIIIIIIIIIIIIIII! CASE STUDY, Wema Sepetu, MRS Aunty Ezekiel Sunday, MRS Irene Ndikumaa, ET AL! AU WANAOTOKA NAO NI WANAWAKE WALE NDANI YA SURUALI??????? Hao ni maarufu tu ambao nikitaja ina ring a bell, acha hawa kina MWAJUMA NDALA NDEFU TULIO NAO STREETS.

MAPENZI NI ZAIDI YA UYAJUAVYO!!!!!!!!!!!!! Mkitakacho wanaume HAKIKO CONSTANT ASILANI! Ukiwa BROKE A.SS UTATAKA MWANAMKE FAITHFUL WASIKUMEGEE, UKIWA LOADED UTATAKA TALK OF THE TOWN AENDANE NA CALIBER YAKO KUKUWEKA KWENYE RAMANI YA JIJI, UKITOKA KIMAISHA JUMLA JUMLA UTATAKA THE WOMAN OF YOUR DREAMS HATA KAMA ITABIDI UMCHOMOE KWA MUMEWE! LIFE IS REALLY A BI.TCH.

Kadri ukuavyo utaelewa naongelea nini.


This is a very complicated topic! Mengi katika haya unayo allege yana ukweli sana. But I will bet you there is no easy answer as the solution to those truths. So much is left to chance i'd say.... kwamba kuishi kutakatifu na kuishi visivyo vitakatifu haikupatii guarantee ya chochote because of chance.

chance ni neno la kifalsafa kumaanisha bahati unayokutana nayo wakati wa uhai wako ambayo ipo nje kabisa ya uwezo wako kutawala.

Nionavyo mimi kuishi kitakatifu na kuishi visivyo vitakatifu si hakikisho la chochote. chance ndiyo inaamua. kwa hiyo tunafanyaje sasa? I'd say wewe Lara 1 umeliona sawa katika kusema ishi inavokupendeza; ila niongeze moja. sema moyoni mwako gharama ya maamuzi yako uwe tayari kuilipa, hata kama gharama hiyo itakuwa ni ile ya kumeza arv mara mbili kutwa for the rest of your life.
 
Hao wote uliowataja
Hebu walinganishe na hawa hapa
1. Faraja Kota
2. Hoyce Temu
3. Jackline Ntuyabaliwe


Unaona wanalingana? Mwanaume anajielewa, status yake itakuwa reflected with the woman he is hooked up with. Watu wakiona mume ni chapombe kupindua huwa hawamshangai mke wake, zaidi zaidi watamsifu kwa uvumilivu.... leo mwanaume awe na mke anashinda bar na kurudi asubuhi atadharaurika hata na watoto.

The bottom line is.... kwa mwanaume status ya mke/mwanamke wake in the society ina matter kuliko unavyodhani. Leo hii Zitto Kabwe akamuoe Wema si kila mtu atashangaa. Janamke linalotembeza ------ yake stejini usiku kucha, mwanaume mwenye akili zake hawezi kutaka kuonekana nae hadharani.

asante
 
Hujitunzi kwa ajili ya happy ending, unajitunza sababu ya 'your own pride'

Nini mwanamke umetembea na mtaa mzima?! Afu nshagundua, hata kama ssura iko kisogoni, mwanamke ukiwa mbanaji wanamme wanakuzungukia kama simba wenye njaa. Huwa kuna kitu hivi kinawafanya baadhi ya wanamme wawe under your feet kila siku. Basi unajisikiaje Kim Kadashani, ila ukienda kwenye kioo ndio unagundua uongo.

Na ukiigawa kama njugu, hata uwe mzurije, unakuwa kama kifutia jasho tu.

Hujawahi shangaa wanamme wanakimbilia kupropose kwa mwanamke ambaye ameshazaa simple bcoz labda alikuwa na mtu mmoja tu? Na wanaacha mabinti wabichi kibao coz wana msururu wa watu?


100!!
 
this is a very complicated topic! Mengi katika haya unayo allege yana ukweli sana. But i will bet you there is no easy answer as the solution to those truths. So much is left to chance i'd say.... Kwamba kuishi kutakatifu na kuishi visivyo vitakatifu haikupatii guarantee ya chochote because of chance.

Chance ni neno la kifalsafa kumaanisha bahati unayokutana nayo wakati wa uhai wako ambayo ipo nje kabisa ya uwezo wako kutawala.

Nionavyo mimi kuishi kitakatifu na kuishi visivyo vitakatifu si hakikisho la chochote. Chance ndiyo inaamua. Kwa hiyo tunafanyaje sasa? I'd say wewe lara 1 umeliona sawa katika kusema ishi inavokupendeza; ila niongeze moja. Sema moyoni mwako gharama ya maamuzi yako uwe tayari kuilipa, hata kama gharama hiyo itakuwa ni ile ya kumeza arv mara mbili kutwa for the rest of your life.

don't try a non reversible reaction in your life
 
This is a very complicated topic! Mengi katika haya unayo allege yana ukweli sana. But I will bet you there is no easy answer as the solution to those truths. So much is left to chance i'd say.... kwamba kuishi kutakatifu na kuishi visivyo vitakatifu haikupatii guarantee ya chochote because of chance.

chance ni neno la kifalsafa kumaanisha bahati unayokutana nayo wakati wa uhai wako ambayo ipo nje kabisa ya uwezo wako kutawala.

Nionavyo mimi kuishi kitakatifu na kuishi visivyo vitakatifu si hakikisho la chochote. chance ndiyo inaamua. kwa hiyo tunafanyaje sasa? I'd say wewe Lara 1 umeliona sawa katika kusema ishi inavokupendeza; ila niongeze moja. sema moyoni mwako gharama ya maamuzi yako uwe tayari kuilipa, hata kama gharama hiyo itakuwa ni ile ya kumeza arv mara mbili kutwa for the rest of your life.

don't try a non reversible reaction in your life


Sijakuelewa. maneno 8 kujibu paragraph tatu? what are you saying?
 
Back
Top Bottom