DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,485
Ndomaana Kuna jukwaa mahsusi,wewe unaleta siasa isipotakiwa,unazingua sana.Siasa ndio imekupa bundle ya kuchat hapa
Siasa ndo kila kitu kwenye nchi zinazoendeleaNdomaana Kuna jukwaa mahsusi,wewe unaleta siasa isipotakiwa,unazingua sana.
Binafsi nimekuelewa Mkuu kwa ujumbe huu!Mwerevu akiona mwanamke anaji expose (anavaa mavazi ya mitego) anajua hapa hatari maana huenda atakuwa cha wote
Yani wewe unazani huyo mwanamke wewe ndiyo utaanza naye?!
Hujiulizi kwa wepesi huu wa kujigonga kwako ameshajigonga kwa wangapi?
Adui amepofusha macho yenu na fahamu zenu?!
Basi tumrejee Mungu kila mtu kwa Imani yako, tukatubu makosa yetu na kujitahidi kuishi kwa kushika maagizo yake hiyo itasaidia sana kuepuka uovu.
Maana imeandikwa :
“Kwa kumcha Mungu watu huepuka uovu”
Na kumcha Mungu siyo kwenda kwanisani/msikitini halafu ukirudi kwenye jamii matendo yako ni yale yale maovu!
Kumcha Mungu ni kumuogoma Mungu sana na kujitahidi kuyashika maagizo yake wakati wote na popote siku zote.
Nawatakia kheri ya Mwaka mpya 2020
Sent using Jamii Forums mobile app
Ugonjwa huu umemeza wengi
nimekuelewa vizuri mkuuKijana ruka rukaaa Siku.umeukwaa hata Kuku watakuona kanyaboya.
Kwani hujui kama UKIMWI ni Mradi mkuu? wenzio wamewekeza uko wanapiga pesa chafu mno...sio kwamba dawa haipo seme ndo ivyo tenaUKIMWI ni upungufu wa kinga mwilini dawa yake ni kuziongeza kinga mwilini
hebu tuanze kutumia akili vijana na kufikirisha ubongo haiwezekani ukimwi uletwe na wazungu na wao hao hao wakuletee dawa
alafu watu wanaweza kupaa paka mwzini huko na kufanya mambo ya ajabu, teknolojia imekua Kwa kiasi kikubwa hivo alafu washindwe kweli kupata dawa ya ukimwi Kwa miaka zaidi ya 30 sasa
lazima kuna jambo linafichwa na haliko sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahy kila aliyeshuka shavu....
KWeliiiithread yako ni nzuri
sema tu...umeiwasilisha kikanyaboya kanyaboya
halafu umekosa unyenyekevu na subira ktk namna bora ya kuiwasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app