Jaffary JF-Expert Member Oct 29, 2011 806 385 Jul 27, 2012 #1 Ni kutoka kilosa-morogoro ambapo kijana huyo alitaka kufanya hivyo baada ya kumshaur baba yake asioe mke wa pili na kughairi.
Ni kutoka kilosa-morogoro ambapo kijana huyo alitaka kufanya hivyo baada ya kumshaur baba yake asioe mke wa pili na kughairi.
Asabaya JF-Expert Member Feb 12, 2012 1,310 414 Jul 27, 2012 #4 Asiowe kwani anamkera nn au anamuonea wivu babake?
Angel Msoffe JF-Expert Member Jun 21, 2011 6,781 1,639 Jul 27, 2012 #6 yawezekana huyo mke wa pili alikua demu wake
isaya clement Member Jul 18, 2012 9 0 Jul 27, 2012 #7 atakuwa hajui matatizo yanayo mkabili baba yake na familia yake lazima kuna kikwazo :israel: