Wewe juzi kati tu hapo umewavua watu magamba tena kwa kasi mpya. Sasa na wale waliovuliwa magamba ni mafisadi papa tena kama yule wa kanda ya kati pale anamiliki vituo kibao vya mafuta , sasa anataka muitambue nguvu yake ya utajiri alionao.
Hata hapa Kibaha hali si shwari, hakuna mafuta kabisa. Hii yote inasababishwa na mafisadi waliovuliwa magamba hivi karibuni !
Hata hapa Kibaha hali si shwari, hakuna mafuta kabisa. Hii yote inasababishwa na mafisadi waliovuliwa magamba hivi karibuni !