mwitasa
Senior Member
- Dec 28, 2013
- 199
- 476
Kipindi napitia taarifa mbalimbali kwenye mtandao nimekutana na taarifa moja kuwa yafuatayo ndio makubaliano kuhusu lugha rasmi ya east africa.
1. Lugha iliyopitishwa rasmi kutumika katika jumuia ni kingereza hivyo kiswahili na kifaransa vimekataliwa.
2.Nchi zote za jumuia zitakuwa na mtaala mmoja wa kufundishia kuanzia elimu ya awali hadi elimu ya juu.
3.vyeti vya wahitimu wa elimu ya daraja husika vitakuwa na uzito sawa kwenye soko la ajira kwenye nchi wanachama.
Nisilolijua ni je
1. Tanzania itabadili mfumo wa ufundishaji kwenye elimu ya shule za msingi kutoka kiswahili kuwa kiingereza?
2.je vipi kuhusu waalimu wetu tunaowatumia kwa sasa kufundisha masomo hayo kwa kiswahili wameandaliwa kuanza kufundisha kwa kiingereza?
Toa mawazo na maoni yako mwana jf hii imekaaje.
1. Lugha iliyopitishwa rasmi kutumika katika jumuia ni kingereza hivyo kiswahili na kifaransa vimekataliwa.
2.Nchi zote za jumuia zitakuwa na mtaala mmoja wa kufundishia kuanzia elimu ya awali hadi elimu ya juu.
3.vyeti vya wahitimu wa elimu ya daraja husika vitakuwa na uzito sawa kwenye soko la ajira kwenye nchi wanachama.
Nisilolijua ni je
1. Tanzania itabadili mfumo wa ufundishaji kwenye elimu ya shule za msingi kutoka kiswahili kuwa kiingereza?
2.je vipi kuhusu waalimu wetu tunaowatumia kwa sasa kufundisha masomo hayo kwa kiswahili wameandaliwa kuanza kufundisha kwa kiingereza?
Toa mawazo na maoni yako mwana jf hii imekaaje.