Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Mjamaa yupo sawa kabisa ,sitisha hili bunge ,rudisha Tanganyika ,tengeza katiba yake ,halafu tunaingia kama tupo kamili kwa maana wahusika wote wapo hai ,Tanganyika na Zanzibar !
Inakuwaje mnaenda na maiti ,hivi mna akili timamu ? Warioba amka na waombe samahani WaTZ haraka sana ,maana jahazi ndio hilo ,Irudisheni Tanganyika japo kwa kuiweka ICU !:A S 114:
Inakuwaje mnaenda na maiti ,hivi mna akili timamu ? Warioba amka na waombe samahani WaTZ haraka sana ,maana jahazi ndio hilo ,Irudisheni Tanganyika japo kwa kuiweka ICU !:A S 114: