Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,396
- 7,968
Big up Mh HK, this is how the young MP is supposed to act. This is in the name of democracy, hakuna haki miliki ya jimbo hata kama una fedha kiasi gani au unatoka chama gani. Mbunge unatakiwa kuwa karibu na wananchi kuliko chama na kama katiba mpya itakuwa ya haki na chama chenu hakitaichakachua utarudi bungeni next term kwa kura nyingi zaidi huku Selelii na Bashe wakiishia kunawaAnayetaka kuja kugombea Nzega aje, kwa chama chochote, maana kila mtu ana haki ya kugombea kadri anavyoona inafaa - ndo demokrasia hiyo! Sijui utaratibu wa kugombea Ubunge 2015 utakuwaje, maana hatujui nini kitakuja na Katiba mpya...hivyo kuna wengine wanaweza kugombea kupitia vyama, wengine wakawa wagombea binafsi, ama pengine utaratibu ukawa ni ule wa proportional representation ampao kunakuwa na closed list ya chama...tusubiri tu