Kigwangalla adai mkataba wa mgodi anajitakia mema kweli?

Hakuezi kuwa na mafanikio kwene sekta kama hii ikiwa serikali yenyewe haifacilitate wazawa kushiriki kwene mchakato wote kuanzia uanzishaji mgodi, umiliki na uendeshaji. The whole thing sijui 30% sijui ngapi is SUPERNONSENSE ikiwa hamna anayefuatilia day to day activities huko kwene site na mpaka madini yanavosafirishwa. Tuache uswahili na kutafuta umaarufu.
 
Kuna mambo mengi sana kuhusiana na huu mgodi wa Golden Pride ambayo wapiga kura wa Nzega wamekuwa wakiyalalamikia kwa zaidi ya miaka kumi na tatu sasa, na haya mambo yanajulikana kila ngazi ya watendaji wa serikali na hakuna jitihada za kuyatatua...mimi Muwakilishi wao nimeamua kuyafuatilia na kwa hakika sintowaangusha wanaNzega wenzangu...nitayafuatilia mpaka pale nitakapoona yanatatuliwa la sivyo hapatatosha Bungeni!

Hivi juzi, baada ya utafiti wa muda mrefu, nimekabidhi kwa Katibu wa Bunge kusudio la kuliomba Bunge lipitishe azimio la kuufunga mgodi huo kwa kuwa hauna manufaa kwa Taifa, pamoja na mambo mengine mengi!

Kuleta mapinduzi ya kifikra siyo lazima uwe upinzani; wengine tunaamini katika kuleta mabadiliko 'from within the system' na there is plenty you are yet to see from people like me...naanza na hili na kuna mengi yapo njiani! Na siyo lazima kila mtu mwenye fikra mbadala basi ajiunge na CHADEMA...

Stay put,
HK.


Kwa hayo niliyoyawekea bold, Dk Hamis; Sina hakika ni kwa muda gani umezisoma siasa za Tanzania, na sina hakika ni kwa kasi gani umezielewa siasa za Tanzania. Je, utakapoprove kuwa imani yako kuwa unaweza kuleta mabadiliko ukiwa 'ndani' ya CCM ni wrong, utaona umuhimu wa kwenda plan B, yaani CHADEMA?
 
Kuna mambo mengi sana kuhusiana na huu mgodi wa Golden Pride ambayo wapiga kura wa Nzega wamekuwa wakiyalalamikia kwa zaidi ya miaka kumi na tatu sasa, na haya mambo yanajulikana kila ngazi ya watendaji wa serikali na hakuna jitihada za kuyatatua...mimi Muwakilishi wao nimeamua kuyafuatilia na kwa hakika sintowaangusha wanaNzega wenzangu...nitayafuatilia mpaka pale nitakapoona yanatatuliwa la sivyo hapatatosha Bungeni!

Hivi juzi, baada ya utafiti wa muda mrefu, nimekabidhi kwa Katibu wa Bunge kusudio la kuliomba Bunge lipitishe azimio la kuufunga mgodi huo kwa kuwa hauna manufaa kwa Taifa, pamoja na mambo mengine mengi!

Kuleta mapinduzi ya kifikra siyo lazima uwe upinzani; wengine tunaamini katika kuleta mabadiliko 'from within the system' na there is plenty you are yet to see from people like me...naanza na hili na kuna mengi yapo njiani! Na siyo lazima kila mtu mwenye fikra mbadala basi ajiunge na CHADEMA...

Stay put,
HK.

Mheshimiwa unachosema ni kweli kabisa. Lakini tunaomba nguvu hii iwe ya kweli, inawezekana kuwa mgodi ahuna manufaa kwa taifa, lakini ni lazima utakuwa na manufaa kwa watu fulani ndio maana upo.

You are right, we would like to see more from the people who fight the battle from within, tuna tatizo kubwa zaidi ndani ya Chama na serikali kuliko nje.

I hope you will let us know the developments kuhusu mradi huu.
 
Nimeamua kukuamini Mbunge, tafadhali jiepushe na kupelekwa na upepo, na kutumiwa na wazoefu wa ufisadi. Tumeona wengi sana wa aina yako, ambao wana nguvu lakini wanayumbishwa na kupotezwa mwelekeo.
Ni kweli inawezekana kuleta mabadiliko ya uelekeo wa nchi ndani ya chama Tawala CCM, lakini ni vigumu SANA.
- umeteuliwa na kuchaguliwa na nguvu ambayo si ya wananchi kwa asilimia fulani
- viongozi wengi wa zamani wa chama chako wanashikila uongozi ili waendelee kutunyonya
- wanayo historia yako ambayo hawatasita kuitumia kukunyamazisha- weak spot yakowanaijua
- sapoti ya wanachama wenzako, imani ya baadhi ya watanzania haiko pamoja na chama chako
 
Kuna mambo mengi sana kuhusiana na huu mgodi wa Golden Pride ambayo wapiga kura wa Nzega wamekuwa wakiyalalamikia kwa zaidi ya miaka kumi na tatu sasa, na haya mambo yanajulikana kila ngazi ya watendaji wa serikali na hakuna jitihada za kuyatatua...mimi Muwakilishi wao nimeamua kuyafuatilia na kwa hakika sintowaangusha wanaNzega wenzangu...nitayafuatilia mpaka pale nitakapoona yanatatuliwa la sivyo hapatatosha Bungeni!

Hivi juzi, baada ya utafiti wa muda mrefu, nimekabidhi kwa Katibu wa Bunge kusudio la kuliomba Bunge lipitishe azimio la kuufunga mgodi huo kwa kuwa hauna manufaa kwa Taifa, pamoja na mambo mengine mengi!

Kuleta mapinduzi ya kifikra siyo lazima uwe upinzani; wengine tunaamini katika kuleta mabadiliko 'from within the system' na there is plenty you are yet to see from people like me...naanza na hili na kuna mengi yapo njiani! Na siyo lazima kila mtu mwenye fikra mbadala basi ajiunge na CHADEMA...

Stay put,
HK.

HK,
Wazo na strategy yako kuhusu maslahi ya wananchi wa Nzega na taifa kwa ujumla inawezekana ni nzuri lkn fanya uchunguzi wa kina na ujiridhishe na majibu ya uchunguzi wako kuwajua wale wote wanaohusika na mgodi huo otherwise utadondoshwa kisiasa kama wale waliokutangulia! Vuta subira kwani bado kuna muda mwingine ambao utaweza kupeleka hoja binafsi au vinginevyo lkn si kukurupuka na kuanza kushupalia hayo masuala ya dhuluma kwa wananchi yaliyodumu kwa miaka 13 sasa.
 
HK,
Wazo na strategy yako kuhusu maslahi ya wananchi wa Nzega na taifa kwa ujumla inawezekana ni nzuri lkn fanya uchunguzi wa kina na ujiridhishe na majibu ya uchunguzi wako kuwajua wale wote wanaohusika na mgodi huo otherwise utadondoshwa kisiasa kama wale waliokutangulia! Vuta subira kwani bado kuna muda mwingine ambao utaweza kupeleka hoja binafsi au vinginevyo lkn si kukurupuka na kuanza kushupalia hayo masuala ya dhuluma kwa wananchi yaliyodumu kwa miaka 13 sasa.

SIKUBALIANI na usemi wako wa KUVUTA SUBIRA kwani mda ndio huu liwezekanalo leo lifanywe leo na sio kungoja kesho
kimbza Dr tunahitaji mabadiliko,tupo nyuma yako

msema ukweliiii hapendwiii daimaaaa:popcorn::clap2:
 
Back
Top Bottom