Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,031
Mh mbunge afafanue why 20% na sio 50%.hata hivyo this is a good start!
kwa nini iwe hisa na isiwe kugawana matofali ya gold pasu kwa pasu yakishazalishwa ili tuwe na reserve ya gold na tuwasiliane na wateja sisi wenyewe?