Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,450
- 12,317
Shughuli ya kuaga Kigoda cha Mwalimu iko live ITV kutoka Nkurumah Hall UDSM.
Mada kuu ni "utatanishi na ukimya katika rasimu ya katiba mpya".
wageni mashuhuri ni pamoja na prof. Shivji,Mukandara,Lipumba,Mzee Butiku,Kingunge n.k.
Nawasilisha.
Mada kuu ni "utatanishi na ukimya katika rasimu ya katiba mpya".
wageni mashuhuri ni pamoja na prof. Shivji,Mukandara,Lipumba,Mzee Butiku,Kingunge n.k.
Nawasilisha.