Kyenyabasa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2023
- 248
- 712
Raisi Samia Askari tunahitaji uongeze posho zetu kwa KIGEZO kilekile kwamba gharama za maisha zimepanda!! Kama ilivyo kwa watu wengine nasi maisha yamepanda Sana hivyo hakikisha unaongeza posho zetu ikiwezekana kabla ya mwezi July.
Sisi kama unavyoelewa muda wote tunakutumikia wewe iwe mvua liwe jua hatuna hata muda wa kuuza barafu na visheti Kama wenzetu walimu kujiongezea kipato, posho zetu hazijaboreshwà kwa miaka mingi sasa, ni wewe peke yako ambae hujaweka alama katika vyombo vyako vya ulinzi na usalama tofauti na watangulizi wako.
Askari wote Wizara ya ulinzi na Wizara ya Mambo ya Ndani tuonee huruma uongeze POSHO zetu.
NI SISI WALINZI WAKO, WENYE NJAA NDANI GWANDA. Samahani mama imetumika lugha ya kijeshi yenye amri kidogo usichukie uuonapo ujumbe huu.Tunakupenda na tunakutakia kazi njema
Sisi kama unavyoelewa muda wote tunakutumikia wewe iwe mvua liwe jua hatuna hata muda wa kuuza barafu na visheti Kama wenzetu walimu kujiongezea kipato, posho zetu hazijaboreshwà kwa miaka mingi sasa, ni wewe peke yako ambae hujaweka alama katika vyombo vyako vya ulinzi na usalama tofauti na watangulizi wako.
Askari wote Wizara ya ulinzi na Wizara ya Mambo ya Ndani tuonee huruma uongeze POSHO zetu.
NI SISI WALINZI WAKO, WENYE NJAA NDANI GWANDA. Samahani mama imetumika lugha ya kijeshi yenye amri kidogo usichukie uuonapo ujumbe huu.Tunakupenda na tunakutakia kazi njema