Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,647
Hiyo picha si ya leo! Ni moja ya kesi zake za zamani...
Haka kabinti bana! Yaani kameshawahi kuwa na kesi siku za nyuma?
Hakika kamepitia mengi!
Hiyo picha si ya leo! Ni moja ya kesi zake za zamani...
kwahiyo ana miaka 16?
huu wehu sijui utaisha lini?
Freemasons freemasons, wengine washaanza kudai tarehe aliyokufa ya kifreemasons sijui nini?
Kwani kuna tarehe maalum ambazo mtu inabdi afe?
Wengine nimesikia wakidai eti kuna dada flani alisema aliwahi waona kanumba na watu wengne saba wakiingia hotelin wakisali kwenye chumba flani uchi.
Kwanza freemasons hawasali uchi kama inavyodaiwa wana nguo zao maalum wanazovaa kwenye ibada zao huku wakiwa wamejifunga kitambaa maalumu kinachodunika maeneo ya zip za masuruali yao.
Pili kama walikuwa wanasali uchi yeye alijuaje wakati anadai walikuwa wamejifungia ndani ya chumba.
Acheni mambo ya kufikirika
ukisikia umbea usiokua na kikomo ndiyo huu
Nauliza kwa wanasheria wetu kwenye kesi Marehemu Kanumba hana makosa yoyote?
RPC wa Kinondoni amenukuliwa na Daily News 10.April 2012 akieleza kuwa chupa ya whisky, sprite, na panga ni miongoni mwa vitu vilivyochukuliwa kutoka chumbani kwa kanumba ikiwa ni sehemu ya uchunguzi wa kifo cha msanii huyo nguli, lulu anauguza majeraha madogo aliyopata kutokana na panga hilo, ikiwa ni pamoja na yale yaliyo sehemu za siri
Imekaaje hii wakuu, kanumba alitaka kuchinja mtu kwa wivu wa mapenzi?
Nadhani kwa kuwa matukio yote yalitokea weekend... Lakini pia polisi hawajajipanga, hata leo wamefanya hivyo kuogopa kunyooshewa vidole kwa ukiukwaji wa haki za binadamu. Kiuhalali ilitakiwa afikishwa jana.
But mtoto ana defense nzuri tu ya kushinda hii kesi, haijalishi katembea na midume mingapi na yenye umri na maumbile gani, bado ni underage and minority kwa Kanumba, wakili wake lazima atashikilia hapo tu.
we jamaa umenishtua,
nilijua utanitaja...
Nauliza kwa wanasheria wetu kwenye kesi Marehemu Kanumba hana makosa yoyote?
Du hapa kuna utata kweli.
Sheria inasemaje kufanya mapenzi na mtoto wa miaka 16?
Taarifa za ndani zinaeleza mtu huyo ni Mheshimiwa Iddi Azzani.
hata huyu binti ana gari? Dah lazima nipambane mwaka huu na mm nivute kasuzuki.....habari za kiitelijensia zinasema huyo mtu ni vicent kigosi.
Iddi Azan ndo aliyempigia simu?Taarifa za ndani zinaeleza mtu huyo ni Mheshimiwa Iddi Azzani.
kitoto kimekomaa mpaka makwapa eti majeraha sehemu za siri?ovyo kabisa
Upendo huwa wakati wa raha tu...palikobakia kila mtu anachunga mzigo wake