A gag order is definitely needed.
"Msianze kuleta maneno yenu ya umbea umbea na uzushi eti hajafika kwenye msiba wa mwanawe kwa kuwa hawaelewani huo ni uzushi, walishaelewana na alikuwa na mawasiliano mazuri na mke wake mama Kanumba na ndiyo maana akatuma wawakilishi wake,"alisema Shibuda.Shibuda amwakilisha baba wa Kanumba Send to a friend
Tuesday, 10 April 2012 20:49
0diggs
digg
Vicky Kimaro
MBUNGE wa Maswa Magharibi, John Shibuda jana alimwakilisha baba wa msanii maarufu wa filamu nchini marehemu Steven Kanumba katika mazishi ya msanii huyo akidai kuwa baba huyo Charles Kusekwa Kanumba ameshindwa kuhudhuria mazishi hayo kutokana na kusumbuliwa na maradhi ya malaria na shinikizo la damu na si matatizo yake na merehemu huyo.
Kupitia uwakilishi huo, Shibuda pia alisoma barua aliyoeleza kutoka kwa mzazi huyo wa Steven Kanumba akieleza kushindwa kwake kufika kwenye mazishi hayo na kwamba ametuma watoto wake na wakwe zake kumwakilisha.
"Baba yake Kanumba siku ya Jumamosi alikuwa anajisikia vibaya na alipokwenda hospitali alipimwa na kukutwa ana malaria 15 na shinikizo la damu likiwa 180 - 140. Lakini pia ana matatizo ya miguu kwa muda mrefu, anatembea kwa msaada wa baiskel,"alisema Shibuda.
Akisoma barua hiyo Shibuda alinukuu barua ya baba wa Kanumba akisema:"Salam, nashukuru wana kamati ya mazishi ya mwanangu kwa kunitumia nauli ili niweze kuja kumzika mtoto wangu. Lakini kutokana na maradhi yanayonikabili sitaweza kuja, ila nawatuma wanangu Michael na Mjanael, pia mkwe wangu Chrisant Msipi waniwakilishe. Matatizo yangu na mwanangu yalishakwisha."
"Msianze kuleta maneno yenu ya umbea umbea na uzushi eti hajafika kwenye msiba wa mwanawe kwa kuwa hawaelewani huo ni uzushi, walishaelewana na alikuwa na mawasiliano mazuri na mke wake mama Kanumba na ndiyo maana akatuma wawakilishi wake,"alisema Shibuda.
Source: Gazeti Mwananchi
kama unavyosema inaweza kuwa sahihi kufikiri nje ya mawazo tuliyonayo sasa...japo ndio hivyo mara freemansons mara pombe basi ilimradi kila mtu anastory yake
watam gag nani TZ?
kwahiyo ana miaka 16?Mama yake jana alipeleka birth certificate pale kituoni inayoonesha mwezi wa 5 ndo anatimiza miaka 17
Kanumba alipewa sumu muda mrefu kabla, pengine jioni ile alipotoka matembezi (au kazini) na labda siku moja au mbili kabla.
Lulu kwa kuwa alikuwa na mahusiano ya karibu alitumwa kwenda kuangalia effect ya kilo alichopewa huyo mnayemuita 'the great,' maana jamaa aliyeleta hiyo kitu kutoka Nairobi si ajabu aliwaingiza mjini
Kwa kuwa kabinti ni kichwa hewa kalienda tu kama zuzu na kalipokuwa huku jamaa kwa mchecheto wakata kujua hali ya kanumba kupitia simu ambazo Lulu aliogopa kuzijibu akihofu mhusika kusikia kuwa alikuwa anaongea na mmoja wa maadui zake.
Na hakika Kanumba alipofanikiwa kuipokonya Simu ya Lulu akagundua kuwa binti alikuwa anateta na adui yake mkuu, yaani Mr X.
"Yaani huyu ndiye ......!" akakata kauli na kuanguka maana dawa ilikwisha kuchukua effect.
hata huyu binti ana gari? Dah lazima nipambane mwaka huu na mm nivute kasuzuki.....habari za kiitelijensia zinasema huyo mtu ni vicent kigosi.
Hiyo picha si ya leo! Ni moja ya kesi zake za zamani...Ooh yeah....kanang'aa kweli kweli. Sasa najiuliza kama huko jela wanaruhusiwa kuwa na make-up, kutumia simu (manake kuna taarifa kuwa kuna watu walikuwa wanawasiliana naye kwa njia ya text messages), na kadhalika.
Hata nywele zake zipo freshi na sio tim tim kama za Wema enzi zile alipotoka Segerea
Nashangaa! yani investigation zinaendelea kama reality show vile.Heheheheee hapo sasa!
Halafu huyu RPC wa Kinondoni ana kidomo domo sana.