KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Dah,hizo filmu atazigawa bure?
mi mwenyewe nahisi kuharibika vibaya kwa soko la filamu za Ray kufuatia kifo hiki,Ray kapata bahati mbaya sana kwamba kanumba kafikwa na hili wakiwa hawaelewani,so mashabiki wa kanumba wanaweza kuzisusia movie za ray kwa hisia tu kwamba kahusika kumuangamiza mpendwa wao,ray anahitaji msaada wa kusafishwa kwa maslahi ya bongo movie industry ili aendeleze alipoishia swahiba wake wa zamani,kanumba alikua icon ya bongo movie,lazima apatikane mrithi,na mtu aliekua anaonekana kumkaribia kanumba ni ray,tumsaidie kipindi hiki kigumu kwake