Kifo cha Recho Chamfanya Wolper Afute Mipango ya Kuzaa kwa Kuogopa Kifo

Money Stunna

JF-Expert Member
Aug 9, 2011
13,054
6,281
Mwana Bongo Movies amejitokeza na kufunguka kuhusu yeye kushika mimba na kuzaa Jisomee hapa chini alichosema:​
"Najua ni Wajibu Wetu kuzaa ila nimekuwa muoga sana wa kushika mimba kwa sababu naogopa kuzaa na nikikumbuka kifo cha Recho ndio Kabisa Hofu Inazidi​

Naitaji Mtoto ila si leo wala kesho nahitaji kujenga ujasiri upya , ila kama ikitokea nitajitahidi kuvumilia"​
 
labda hana kizazi....asisingizea
Mwana Bongo Movies amejitokeza na kufunguka kuhusu yeye kushika mimba na kuzaa Jisomee hapa chini alichosema:​
"Najua ni Wajibu Wetu kuzaa ila nimekuwa muoga sana wa kushika mimba kwa sababu naogopa kuzaa na nikikumbuka kifo cha Recho ndio Kabisa Hofu Inazidi​

Naitaji Mtoto ila si leo wala kesho nahitaji kujenga ujasiri upya , ila kama ikitokea nitajitahidi kuvumilia"​
 
Anagopa kuzaa lakini matusi anafanya,sas ziingia anazipeleka wapi?nae apishe kule asituwekee folen
 
Kuna siku alisema huwa anatembea na condom kwenye gari,anamaanisha genye zikimshika sehemu yoyote anapiga game
 
katika nchi ilyobarikiwa kuwa na " ma celebrities"wenye IQ kubwa nio Tanzania, hongera sana tuko juu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom