Kifo cha Kanumba: Ni uzembe tu? Sio Lulu!

Pasco, umegusia jambo la muhimu saana uliposema unataka kusaidia wengine wajue haki zao...

Kwa kweli hili ni tatizo hasa pengine zaidi ya wengi wanavyodhani...(kuna mahala mtu anasema utaratibu wa PF3 uko wazi na unafahamika...nimesikitika sana)

eneo hili la huduma linahitaji saaana msaada wa wataalam husika. Umechagua njia iliyo njema kwa kweli kama uyasemayo utayaweka kwenye matendo.
BHT, asante kwa hili, kila jambo linafanyika kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni, imeshatokea mara nyingi tuu, wale wenye wajibu wa kusimamia hizo sheria, taratibu na kanuni, ndio wako mstari wa mbele kuzivunja sio kwa makusudi tuu, bali kwa kutojua sheria. Kuna makosa kibao polisi wanafanya kinyume cha sheria na yanaachwa kwa vile raia hawajui haki zao!.

Juzi baada ya ule mgomo wa madaktari, nimefanya video documentary kuonyesha uzembe wa serikali kwenye mgomo huo uliopelekea loss of life, mwisho wa kipindi nikasema serikali lazima iwajibike for all the life lost kwenye mgomo huu na nikasema ingekuwa nji za wenzetu, hospitali zikashapelekwa mahakamani zamani na kudaiwa fidia!. Kipindi hicho kimekataliwa, eti ni uchochezi!.

Kila siku ajali zinatokea, watu wanapoteza maisha and its the end. Wenye magari yao ndio hudai fidia ya mali zao and no body cares kuhusu waliopoteza maisha kwa vile watu hawajui haki zao.

Ziko kesi nyingi ni criminal watuhumiwa wakishashinda kesi tuu na kuachiwa huru, wanashukuru kwa kuona hawana hatia na wala hawajui kuwa wanaweza kufungua kesi za madai na kufidiwa mateso na usumbufu wowote uliotokana na kesi hizo!. Kwenye tasnia ya haki za raia, Watanzania bado tuko nyuma sana!.

Kwa vile kifo cha Kanumba kina public interest element, I hope haka kabinti katakuwa treated fairly!.
 
Mimi si fan wa Kanumba wala Bongo movies. Lakini Lulu had it coming. Sioni kwanini unaishia kusema uzembe na kumtafutia excuse Lulu!

Kuna mtu amesema kuhusu Daud na Goliath, alisahau kusema Goliath alikuwa defeated na Daud; kumuangusha mtu unahitaji tu huyo mtu kuwa offbalnce kidogo.

Anyway as long as hatujui what real happened huwezi kumnasua Lulu na hicho kisanga! Assume ni Lulu ndio amekufa, ungefikiria kuwa Kanumba hana kosa ni Uzembe tu?
 
Hapo kwenye red hapo mkuu,

1.Sigara a.k.a sigareti
2.......?
3.......?
4.......?
5.......?

Ni kujuzana tu mkuu....sina lingine!!!!
Mkuu NazDaz, ..ndio maana yake, nimevuta kila kitu, kuanzia sigara ndogo, kubwa mpaka .. mimi ni ex Tambaza, hivyo summit nimepanda sana tuu!.

Na mpaka kesho napenda harufu ya petroli, spirit, thinner (tina) ya kusafishia rangi na harufu ya nail polish remover!, japo siku hizi sinusi, nikipita mahali na kuzisikia hizo smell, I just feel good!.
 
Nakubaliane nawe kuwa SK alishakuwa amekufa the moment Lulu alipotoka chumbani! Sababu ya kifo uchunguzi utaonyesha tu...iwe kusukumwa au kupigwa na kitu, kujigonga kwa bahati mbaya, cardiac arrest nk.
crime scene ilishavurugwa vibaya!
 
BHT, asante kwa hili, kila jambo linafanyika kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni, imeshatokea mara nyingi tuu, wale wenye wajibu wa kusimamia hizo sheria, taratibu na kanuni, ndio wako mstari wa mbele kuzivunja sio kwa makusudi tuu, bali kwa kutojua sheria. Kuna makosa kibao polisi wanafanya kinyume cha sheria na yanaachwa kwa vile raia hawajui haki zao!.

Juzi baada ya ule mgomo wa madaktari, nimefanya video documentary kuonyesha uzembe wa serikali kwenye mgomo huo uliopelekea loss of life, mwisho wa kipindi nikasema serikali lazima iwajibike for all the life lost kwenye mgomo huu na nikasema ingekuwa nji za wenzetu, hospitali zikashapelekwa mahakamani zamani na kudaiwa fidia!. Kipindi hicho kimekataliwa, eti ni uchochezi!.

Kila siku ajali zinatokea, watu wanapoteza maisha and its the end. Wenye magari yao ndio hudai fidia ya mali zao and no body cares kuhusu waliopoteza maisha kwa vile watu hawajui haki zao.

Ziko kesi nyingi ni criminal watuhumiwa wakishashinda kesi tuu na kuachiwa huru, wanashukuru kwa kuona hawana hatia na wala hawajui kuwa wanaweza kufungua kesi za madai na kufidiwa mateso na usumbufu wowote uliotokana na kesi hizo!. Kwenye tasnia ya haki za raia, Watanzania bado tuko nyuma sana!.

Kwa vile kifo cha Kanumba kina public interest element, I hope haka kabinti katakuwa treated fairly!.


Homeboy

Leo naungana nawe! Tafuta Hii movie nzuri sana kwa wanasheria "The Life of David Gale"
 
Ufafanuzi nzuri Pasco kwa haya machache uliyoeleza kwa kina kuna uzembe wazi. Kama ulivyosema tusubiri ripoti ya POLISI na DOKTA.
 
Mkuu NazDaz, ..ndio maana yake, nimevuta kila kitu, kuanzia sigara ndogo, kubwa mpaka .. mimi ni ex Tambaza, hivyo summit nimepanda sana tuu!.

Na mpaka kesho napenda harufu ya petroli, spirit, thinner (tina) ya kusafishia rangi na harufu ya nail polish remover!, japo siku hizi sinusi, nikipita mahali na kuzisikia hizo smell, I just feel good!.

Dah! Umenikumbusha kuhusu summit, nimei-mis ile mbaya na enzi za Headmistress Bi. Mkora!!!! Sijui yupo wapi yule mama....kila siku ugomvi wetu ilikuwa ndevu na nywele....!!! Eti ki2 kilikuwa kina-shine afu yeye anataka ni-shave; aarghh!!!
 
Ufafanuzi nzuri Pasco kwa haya machache uliyoeleza kwa kina kuna uzembe wazi. Kama ulivyosema tusubiri ripoti ya POLISI na DOKTA.
Na wewe ni walewale, elezea huo uzembe ni upi sio kusema kuna uzembe, ukisema kuna uzembe na kuishia hapo haina maana. au umetoka fb unaleta tamthilia za kusadikika hapa. usije na theory njoo na kitu kinachoeleweka hapa, kama kuna uzembe kwa nini usubiri ripoti ya polisi? ya nini sasa? na hao wazembe ni nani? mdogo mtu? au na ww pia unataka promo kutoka kwa luluuuuuu
 
Ndio maana tunaambiwa tuishi na majirani vzr never know uhusiano wake na majirani. Majirani wa sehemu ninayoishi wamegawa filimbi kila nyumba once kukiwa natatizo ugomvi,ugonjwa au tatizo lolote piga filimbi au yowe watakuja. Nakumbuka wakati niliposafiri Mwanangu alipozidiwa ghafla mke wangu alipiga tu filimbi walipofika kuona ila hali walimbemba mtoto hospitali haraka wakati mama watoto ameshachanganyikiwa na hali ya mtoto ilivyo na thanks God maisha ya mtoto yaliokolowa na kwakweli najisikia furaha sana kuishi na majirani hawa ambao hatawakisikia kelele za ugomvi utakuta wameshafika nakumbuka tulipowahi siku mmoja kuvunja mlango wa nyumba ya jirani na kuingia ndani na kuamua ugomvi alikuwa anampiga mkewe na kumkimbiza mkewe hospitalini kuwahi tiba ya majiraha wakati mumewe kavimba kwa hasira.

Hapa muhimu ni kuishi vzr na majirani na muweke utaratibu wenu na walau na utaratibu wakutembeleana. sisi huwa kila Jpili ya mwisho ya mwezi huwa tunakutana kama majirani na likitokea tatizo lolote lile linalohitaji Gari basi ni lazima jirani yeyote mwenye gari awe tayari kusaidia no matter hata iwe usiku wa manane

Kwa sinza na maisha ya kisinza sinza sijui kama kuna interaction ya majirani kwa sababu kama walisikia mayowe kwa muda lakini majirani hawakuthubutu kuja kuona kama watasaidiaje hapa lazima kuna tatizo na hili liwe somo tosha kwa sie wengine tuliobaki hai kuishi vzr na majirani na kushirikiana huwa inasaidia sana. Jirani akija kuomba chumvi haimaanishi kuwa hana 100 ya kununulia chumvi bali inamaanisha ukaribu mlionao
 
Umegandisha mno mawazo yako. kama mgonjwa ana hali mbaya anapokelewa Hospitali, PF-3 inafuata baadae baada ya taarifa kufika polisi. kwa kukusidia,ukiona mtu yupo serious,wengine wanampleka Hospitali na wengine wanakwenda Polisi.

pamoja na yote kanumba alipitishwa kwanza police kuchukua pf 3 na hawajaweka waz kuwa alitumia muda gan pale polisi.hili suala linawezekana lina mengineyo nyuma tusiyoyajua.sijaelewa ni kwanini mpaka sasa hospital hawajatoa 7bb za kifo
 
BHT, asante kwa hili, kila jambo linafanyika kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni, imeshatokea mara nyingi tuu, wale wenye wajibu wa kusimamia hizo sheria, taratibu na kanuni, ndio wako mstari wa mbele kuzivunja sio kwa makusudi tuu, bali kwa kutojua sheria. Kuna makosa kibao polisi wanafanya kinyume cha sheria na yanaachwa kwa vile raia hawajui haki zao!.

Juzi baada ya ule mgomo wa madaktari, nimefanya video documentary kuonyesha uzembe wa serikali kwenye mgomo huo uliopelekea loss of life, mwisho wa kipindi nikasema serikali lazima iwajibike for all the life lost kwenye mgomo huu na nikasema ingekuwa nji za wenzetu, hospitali zikashapelekwa mahakamani zamani na kudaiwa fidia!. Kipindi hicho kimekataliwa, eti ni uchochezi!.

Kila siku ajali zinatokea, watu wanapoteza maisha and its the end. Wenye magari yao ndio hudai fidia ya mali zao and no body cares kuhusu waliopoteza maisha kwa vile watu hawajui haki zao.

Ziko kesi nyingi ni criminal watuhumiwa wakishashinda kesi tuu na kuachiwa huru, wanashukuru kwa kuona hawana hatia na wala hawajui kuwa wanaweza kufungua kesi za madai na kufidiwa mateso na usumbufu wowote uliotokana na kesi hizo!. Kwenye tasnia ya haki za raia, Watanzania bado tuko nyuma sana!.

Kwa vile kifo cha Kanumba kina public interest element, I hope haka kabinti katakuwa treated fairly!.

Kweli kabisa watu hawjui haki zao Nakumbuka kuna ajali mmoja ya basi ndugu yangu alikuwa ndani baada ya ajali alivunjika mguu tulidai bima na jamaa alilipwa hela ambayo baada ya kuipata aliitumia kama mtaji kufungua biashara na sasa anaishi maisha angalau alhamdulillah shida ndogo ndogo anaweza kujitatulia mwenyewe na maisha yake yanaenda vzr kuliko ilipokuwa awali ila ilikuwa mbinde kweli kwa mwenyegari kuweza kusaidia jamaa apate haki zake mpaka alikuwa akisema kuwa wengine mbona hawajaja ila ni nyie na ndugu yenu tu?
 
Pasco,

Asante kwa tafakuri ya kina. I think namba moja hapo juu, kuna maelezo mengine kuwa kutoka hapo nyumbani marehemu alipelekwa hospitali ya Mwananyamala ambako nafikiri ndiyo alikuwa declared dead. MNH ilikuwa kuhifadhi mwili wa marehemu.....


According to shemeji wa marehemu hakupelekwa hospitali yoyote ila MNH
 
Several Search engines fail to convince me that MTU ANATOA POVU AKIGONGWA KICHWANI SHINGONI AU HATA MGONGONI! KAMA KUNA DOKTA ANAFAHAMU HII KITU ANISAIDIE JAMANI

Mpaka ujue ni aina gani ya pombe jamaa alikunywa. Kama alikunywa JD inayotengenezewa Tandale kwa Mtogole, what do you expect? Lazima mapovu yatoke. By the way, I suspect the standard we were seeing in the movies were not applicable at his place. Kisa cha kugombana kuanzia saa sita mpaka night kali ni nini? Si angelipiga simu kwa standby aje fasta fasta watoke kuliko kuingia kwenye ugomvi ambao unaleta mauti. Well, when we think we know too much we end up being caught by suprises.
 
Pasco ni kweli yametokea lkn jua Star yoyote ana maadui kibao [kina Bruce-lee, Whitney]na nyuma yake kulikuwa na kitu
Walimchukia kwa kupendwa na wengi hata mapokezi yake Congo na Burundi yalitisha
Kwa hiyo kumpa dau kubwa
Lulu la kwenda kum-Poison (kichupa kidogo cha ku-spray)yote tumuachie MUNGU
 
Pasco,

Hoja yako namba 2 na hiyo namba 10 kama zinajichanganya hivi! Labda kwanza Lulu aweze ku explain kinaga ubaga hivyo vishindo ambavyo mdogo wa marehemu na majirani walikuwa wanavisikia vikitokea chumbani ambako supposedly kulikuwa na watu wawili tu, Lulu na marehemu SK. Vilikuwa vishindo vya nini? Chumbani kulikuwa na watu wangapi?

Sioni ni kwa vipi Lulu anaweza kujiondoa kirahisi kwenye kesi hii.
 
Back
Top Bottom