Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,992
- 16,696
Kauwawa na mashambulizi ya anga ya israeli huko Gaza.
Ndio huyo hiyo! Anapenda kunywa damu za watu. Ndio maana kila wakifanya mauaji ya kigaidi lazima walitaje jina lake.Ndiye yule ambaye wanamtaja kila mara kwa makelele?
Nani alimpeleka Gaza wakati yeye alikua IsraelKauwawa na mashambulizi ya anga ya israeli huko Gaza.
Wewe unajua kilichotokea tarehe 7 oktoba? Mbona kama unauliza makofi polisi?Nani alimpeleka Gaza wakati yeye alikua Israel
Ww mbona unafurahia mauaji ya wapalestina au wao sio watu?hivi waislam why mnafurahia kifo cha mtu?? mmeumbwa na roho gani nyie wenzetu?? mnajifunza dini ipi inayisema kufurahia kifo?? huoni aibu wewe kuandjka haya?
Pumbavu sana wewe utakuwa mfuasi wa Hamaskijana mtanganyika ameumia sana basi tuu...kule telegram mapalestina kuna video yakimuigilia kinyumee wale madogo na mwenzake molel..mapalestina hayafai huruma yeyotee !
Acha usenge kila binadamu ana umuhimu.Wajinga sana wanaona waarabu ni muhimu kuliko vijana wetu ! eti waislamu wenzetu!
Jibu swali ndio tumekubari hoja Yako kauwawa na Air strikes za Israel. Question Nani alimpeleka Gaza wakati yeye alikua Israel?Wewe unajua kilichotokea tarehe 7 oktoba? Mbona kama unauliza makofi polisi?
Hakuna sehemu ninefurahia chunguza ndugu.hivi waislam why mnafurahia kifo cha mtu?? mmeumbwa na roho gani nyie wenzetu?? mnajifunza dini ipi inayisema kufurahia kifo?? huoni aibu wewe kuandjka haya?
Alitekwa na Hamas kama Israel inavyowashikilia wapalestina huko kwenye magereza yao .Jibu swali ndio tumekibari hoja Yako kauwawa na Air strikes za Israel. Question Nani alimpeleka Gaza wakati yeye alikua Israel?
Kwa hiyo nani wamesababisha kifo chake?Swali lipo palepale.Wewe unajua kilichotokea tarehe 7 oktoba? Mbona kama unauliza makofi polisi?
Lini wewe ukakemea ugaidi walio Fanya Hamas kuua na kuteka Raia ambao hawahusiki na jeshi watoto kinamama na wazee Leo ndio unajua Kila binadamu ana umuhimu?Acha usenge kila binadamu ana umuhimu.
Alitekwa minajili ya Nini hasa wakati yeye si Raia wa Israel?Alitekwa na Hamas kama Israel inavyowashikilia wapalestina huko kwenye magereza yao .
Alitekwa minaji ya Nini hasa wakati yeye si Raia wa Israel?
Confirmation imetoka wapi?Aisee hata soni huna kabisa hebu twende pole pole leo unapata faida gani kusapoti ugaidi wa Hamas? kijana wetu wa kitanzania alikua anajitafutia maisha kupitia Elimu magaidi unaowasapoti na kuwatetea Hamas walimkamata kwa kosa gani?
Ila elewa giza ni giza tu na mwanga ni mwanga tu wewe endelea kuwasapoti magaidi wa Hamas kila mtu na achague mrengo wake.
usipende kudandia mambo kwa mbele utapanda mtubwi wa vibwengo kama apo ushaingia kinyume nyume geto la popobawahuoni hata aibu kuuliza hili swali eti Jf home of great thinker sasa ishu nyepes tu kama hii hufahamu wewe ukiambiwa vaa mabomu kajitoa mhanga utashindwa kweli Hamas magaidi hawateka na kuua Waisrael tu
Wewe bibi wewe au basiUongo mtupu.
Huyo kauliwa na mazayuni wenyewe.
Accumen Mo hapa ulimaanisha nini??mjiandae kisaikolojia juu ya huyo mwingine
Hujashirikisha akiliKwa kutumia akili tu ,wale mateka wa kwanza waliachiwa ...Juzi kati walikubaliana kuachia mateka ili vita isiendelee .
Inakuwaje mateka aliyekamatwa kauliwa na nyie wana israel mjue kwamba kauliwa huku yule mwingine hamjui alipo ! Huyu ambaye kauliwa mlijuaje?
Huyu hakutekwa alikufa kitambo sana kweny mashambulizi na mjiandae kisaikolojia juu ya huyo mwingine.