Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 38,107
- 47,114
Ugaidi mtupuAlitekwa minajili ya Nini hasa wakati yeye si Raia wa Israel?
Ugaidi mtupuAlitekwa minajili ya Nini hasa wakati yeye si Raia wa Israel?
Jibu wewe unayewatetea waliomteka.Hilo swali kawaulize waliomteka
Pole na usahauHamas ni mashetani tena natamani Israel iwateketeze wote wapoteze kwenye uso wa dunia
Wayahudi wanastahili kufaHao watu mbona hawakuandamana Hamas walipoua wayahudi 1400 ,mbona kina shehe ponda hawaandamani watu wanaouawa huko Sudan,mbona hakuna maandamano ya watu wanaouawa na alshabab,bokoharamu,waukraine wanaouawa na urusi
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
SijibuJibu wewe unayewatetea waliomteka.
Mkuu tunakutana katika mijadala mingi humu, mimi sio mtu wa kuokota taarifa mtandaoni, tizama hamas ilianza vipi kwenye historia hao mossad wenyewe ndio walianzisha, na kibao kimewageukia baadae.Uongo kama huo unatakiwa utupe tukiwa tumeshiba ugali na senene kijiweni.Ujinga wote mnawasingizia USA na Israel!🤔