gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
gfsonwin ahaaaa sasa nimekujua kumbe wewe ni yule dada wa maarufu kwa kuchora PIKO.....!
Huyo Mzee Kambanyuma si yule ambaye mwaka jana alimcheza yule bintiye aitwae Fitina ambaye alikuja kuolewa na mtoto wa mzee Mambaligwa, aitwae Mshamu, yule kijana aliyekuwa mpiga ngoma maarufu wa mdundiko hapo mtaani..........
Leo nitapita hiyo mitaa, nitakujulia hali............................
hapo hapo tena si unkaumbuka yule somo wake fitina nilikuwa mimi? hata kwenye kusasambua nilisasambua mimi? wewe ni ndugu na mshamu manake siku ile ulivaa kanzu na ulikula pamoja na maharus.