george de hero
Senior Member
- Jul 7, 2013
- 122
- 14
Jamani wanajamvi naomba mnisaidie eti ni kweli kidato cha sita wa mwaka huu wataanza kuripoti vyuoni january mwakani...
oya na je application vip bado hazijaanza TCU, kama zitaaza tuambiane
oya na je application vip bado hazijaanza TCU, kama zitaaza tuambiane
Jamani wanajamvi naomba mnisaidie eti ni kweli kidato cha sita wa mwaka huu wataanza kuripoti vyuoni january mwakani...
oya na je application vip bado hazijaanza TCU, kama zitaaza tuambiane
Jamani wanajamvi naomba mnisaidie eti ni kweli kidato cha sita wa mwaka huu wataanza kuripoti vyuoni january mwakani...
kwa udsm wanaanza oct 2014.
source www.udsm.ac.tz/almanac ipakue ujiongezee maarifa.
Kuna tangazo la jkt linatangazwa clouds fm...lisikilizen mjue....linasema kwamba wale form 6 wa awamu ya pili ambao watachaguliwa vyuo vikuu,wataandika barua kwa mkuu wa jkt ya kutokwenda mpk watakapomaliza masomo yao....CHUO OCTOBER