Kichapo hiki kwa CDM Arumeru ni kikubwa sana , wahurumieni !

GeniusBrain

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
4,315
306
Wakati uchaguzi wa Arumeru Mashariki ukikaribia , hali kwa baaadhi ya vyama vya upinzani ni tete na haitii matumaini kabisa kwa wao kushinda. Hali hiyo ni mbaya zaidi kwa CDM kwani waliyokuwa wakiyategemea sivyo yalivyo.

  1. CDM walitegemea wapiga kura wengi ni vijana. Ila imedhihirika kuwa vijana wengi hawakujiandikisha na hawana sifa yakupiga kura. Kwa maana hiyo basi waamuzi wa Mbunge ajae yako kwa wazee na wanawake. Ambapo makundi haya CDM wameyasahau na kujihusisha na vijana tu
  2. CDM walitegemea utumiaji wa fomu no. 17 uwe ni ukombozi wao. Ila tume ya taifa ya uchaguzi imeisha tangaza kuwa fomu hiyo haijawahi kutumika katika uchaguzi wowote nchini, na kwenye uchaguzi huu wa Arumeru haitatumika. Hii yaonyesha ule mpango wao wakuruhusu hata wasio na shahada za kupiga kura wapige kura umekufa. Na hili ni pigo kubwa sana kwao
  3. CDM ilifanya harambee ya SADAKA pale Naura, na walikusanya pesa nyingi tu. Ila mpaka sasa pesa hizo hazija saidia sana chama. Kwani kwa tathmini CCM wao walikuwa wanafanya mikutano takribani 30 kwa siku, CDM wao walikuwa 18 kwa siku. Na CCM hivi sasa watafanya mikutano 50 kwa siku, CDM wao 23 kwa siku. Hii yaonyesha , uwezo mdogo wa CDM kufanya mikutano. Sasa tatizo mwanzo tuliambiwa ni pesa, sasa pesa zipo na mikutano haifanyiki kwa wingi
 
Wakati uchaguzi wa Arumeru Mashariki ukikaribia , hali kwa baaadhi ya vyama vya upinzani ni tete na haitii matumaini kabisa kwa wao kushinda. Hali hiyo ni mbaya zaidi kwa CDM kwani waliyokuwa wakiyategemea sivyo yalivyo.

  1. CDM walitegemea wapiga kura wengi ni vijana. Ila imedhihirika kuwa vijana wengi hawakujiandikisha na hawana sifa yakupiga kura. Kwa maana hiyo basi waamuzi wa Mbunge ajae yako kwa wazee na wanawake. Ambapo makundi haya CDM wameyasahau na kujihusisha na vijana tu
  2. CDM walitegemea utumiaji wa fomu no. 17 uwe ni ukombozi wao. Ila tume ya taifa ya uchaguzi imeisha tangaza kuwa fomu hiyo haijawahi kutumika katika uchaguzi wowote nchini, na kwenye uchaguzi huu wa Arumeru haitatumika. Hii yaonyesha ule mpango wao wakuruhusu hata wasio na shahada za kupiga kura wapige kura umekufa. Na hili ni pigo kubwa sana kwao
  3. CDM ilifanya harambee ya SADAKA pale Naura, na walikusanya pesa nyingi tu. Ila mpaka sasa pesa hizo hazija saidia sana chama. Kwani kwa tathmini CCM wao walikuwa wanafanya mikutano takribani 30 kwa siku, CDM wao walikuwa 18 kwa siku. Na CCM hivi sasa watafanya mikutano 50 kwa siku, CDM wao 23 kwa siku. Hii yaonyesha , uwezo mdogo wa CDM kufanya mikutano. Sasa tatizo mwanzo tuliambiwa ni pesa, sasa pesa zipo na mikutano haifanyiki kwa wingi

Kapokee 2000 yako ya kutwa
 
Wakati uchaguzi wa Arumeru Mashariki ukikaribia , hali kwa baaadhi ya vyama vya upinzani ni tete na haitii matumaini kabisa kwa wao kushinda. Hali hiyo ni mbaya zaidi kwa CDM kwani waliyokuwa wakiyategemea sivyo yalivyo.

  1. CDM walitegemea wapiga kura wengi ni vijana. Ila imedhihirika kuwa vijana wengi hawakujiandikisha na hawana sifa yakupiga kura. Kwa maana hiyo basi waamuzi wa Mbunge ajae yako kwa wazee na wanawake. Ambapo makundi haya CDM wameyasahau na kujihusisha na vijana tu
  2. CDM walitegemea utumiaji wa fomu no. 17 uwe ni ukombozi wao. Ila tume ya taifa ya uchaguzi imeisha tangaza kuwa fomu hiyo haijawahi kutumika katika uchaguzi wowote nchini, na kwenye uchaguzi huu wa Arumeru haitatumika. Hii yaonyesha ule mpango wao wakuruhusu hata wasio na shahada za kupiga kura wapige kura umekufa. Na hili ni pigo kubwa sana kwao
  3. CDM ilifanya harambee ya SADAKA pale Naura, na walikusanya pesa nyingi tu. Ila mpaka sasa pesa hizo hazija saidia sana chama. Kwani kwa tathmini CCM wao walikuwa wanafanya mikutano takribani 30 kwa siku, CDM wao walikuwa 18 kwa siku. Na CCM hivi sasa watafanya mikutano 50 kwa siku, CDM wao 23 kwa siku. Hii yaonyesha , uwezo mdogo wa CDM kufanya mikutano. Sasa tatizo mwanzo tuliambiwa ni pesa, sasa pesa zipo na mikutano haifanyiki kwa wingi
This is a liquid material, yellowish in color, flowing from the WC's, via the chambers, down the septic tank for disposal!
 
woiiii propagamba tu hizo waamuzi wa mbunge ni wanaarumeru na si jf gamba wewe
CDM sijui nani aliye waroga na karibia wote (viongozi+wanachama+wapenzi) badala yakujibu hoja unaikwepa hoja. Sasa hapo ndipo umejibu nn ? tukisema hata darasa la 7 hukufika km Lema tutakuwa tumekosea?
 
This is a liquid material, yellowish in color, flowing from the WC's, via the chambers, down the septic tank for disposal!

Ha ha ha haaaaaaaa ukweli unauma lazima uandike hivyo wala sikushangai ila wenye chama chao wameisha jua nilichosema ni uwazi na ukweli.
 
Wakati uchaguzi wa Arumeru Mashariki ukikaribia , hali kwa baaadhi ya vyama vya upinzani ni tete na haitii matumaini kabisa kwa wao kushinda. Hali hiyo ni mbaya zaidi kwa CDM kwani waliyokuwa wakiyategemea sivyo yalivyo.

  1. CDM walitegemea wapiga kura wengi ni vijana. Ila imedhihirika kuwa vijana wengi hawakujiandikisha na hawana sifa yakupiga kura. Kwa maana hiyo basi waamuzi wa Mbunge ajae yako kwa wazee na wanawake. Ambapo makundi haya CDM wameyasahau na kujihusisha na vijana tu
  2. CDM walitegemea utumiaji wa fomu no. 17 uwe ni ukombozi wao. Ila tume ya taifa ya uchaguzi imeisha tangaza kuwa fomu hiyo haijawahi kutumika katika uchaguzi wowote nchini, na kwenye uchaguzi huu wa Arumeru haitatumika. Hii yaonyesha ule mpango wao wakuruhusu hata wasio na shahada za kupiga kura wapige kura umekufa. Na hili ni pigo kubwa sana kwao
  3. CDM ilifanya harambee ya SADAKA pale Naura, na walikusanya pesa nyingi tu. Ila mpaka sasa pesa hizo hazija saidia sana chama. Kwani kwa tathmini CCM wao walikuwa wanafanya mikutano takribani 30 kwa siku, CDM wao walikuwa 18 kwa siku. Na CCM hivi sasa watafanya mikutano 50 kwa siku, CDM wao 23 kwa siku. Hii yaonyesha , uwezo mdogo wa CDM kufanya mikutano. Sasa tatizo mwanzo tuliambiwa ni pesa, sasa pesa zipo na mikutano haifanyiki kwa wingi

WINGI WA MIKUTANO SIYO SABABU YA KUSHINDA. KAMWULIZE SILINDE atakuambia
 
HONGERA SANA, NAONA HAYA NI MAANDALIZI YA KUIBA KULA. nA NDIO LUGHA ZENU HIZI, ETI HAWAKUJIANDIKISHA, Pumbaf kabisa.
 

CDM sijui nani aliye waroga na karibia wote (viongozi+wanachama+wapenzi) badala yakujibu hoja unaikwepa hoja. Sasa hapo ndipo umejibu nn ? tukisema hata darasa la 7 hukufika km Lema tutakuwa tumekosea?

we umefika la ngapi? Maana upo kama walewale tu
 
nakumbuka mwaka 2010 wakati wa uchaguzi jimbo la musoma walisema hivihivi lkn mbinu zao tumeshazijua ...hii ni janja ili waibe kura ..magamba muda wenu umekwisha ....punguzeni propaganda ...wameru ndio wenye maamuzi...
 
Wakati uchaguzi wa Arumeru Mashariki ukikaribia , hali kwa baaadhi ya vyama vya upinzani ni tete na haitii matumaini kabisa kwa wao kushinda. Hali hiyo ni mbaya zaidi kwa CDM kwani waliyokuwa wakiyategemea sivyo yalivyo.

  1. CDM walitegemea wapiga kura wengi ni vijana. Ila imedhihirika kuwa vijana wengi hawakujiandikisha na hawana sifa yakupiga kura. Kwa maana hiyo basi waamuzi wa Mbunge ajae yako kwa wazee na wanawake. Ambapo makundi haya CDM wameyasahau na kujihusisha na vijana tu
  2. CDM walitegemea utumiaji wa fomu no. 17 uwe ni ukombozi wao. Ila tume ya taifa ya uchaguzi imeisha tangaza kuwa fomu hiyo haijawahi kutumika katika uchaguzi wowote nchini, na kwenye uchaguzi huu wa Arumeru haitatumika. Hii yaonyesha ule mpango wao wakuruhusu hata wasio na shahada za kupiga kura wapige kura umekufa. Na hili ni pigo kubwa sana kwao
  3. CDM ilifanya harambee ya SADAKA pale Naura, na walikusanya pesa nyingi tu. Ila mpaka sasa pesa hizo hazija saidia sana chama. Kwani kwa tathmini CCM wao walikuwa wanafanya mikutano takribani 30 kwa siku, CDM wao walikuwa 18 kwa siku. Na CCM hivi sasa watafanya mikutano 50 kwa siku, CDM wao 23 kwa siku. Hii yaonyesha , uwezo mdogo wa CDM kufanya mikutano. Sasa tatizo mwanzo tuliambiwa ni pesa, sasa pesa zipo na mikutano haifanyiki kwa wingi

Vp 20,000 na kofia yako umesha chukua?
 
we ni MAGAMBA tu hata mfanye mikutano 5000 kwa siku! CHAMA CHA MAGAMBA.
 
Wakati uchaguzi wa Arumeru Mashariki ukikaribia , hali kwa baaadhi ya vyama vya upinzani ni tete na haitii matumaini kabisa kwa wao kushinda. Hali hiyo ni mbaya zaidi kwa CDM kwani waliyokuwa wakiyategemea sivyo yalivyo.

  1. CDM walitegemea wapiga kura wengi ni vijana. Ila imedhihirika kuwa vijana wengi hawakujiandikisha na hawana sifa yakupiga kura. Kwa maana hiyo basi waamuzi wa Mbunge ajae yako kwa wazee na wanawake. Ambapo makundi haya CDM wameyasahau na kujihusisha na vijana tu
  2. CDM walitegemea utumiaji wa fomu no. 17 uwe ni ukombozi wao. Ila tume ya taifa ya uchaguzi imeisha tangaza kuwa fomu hiyo haijawahi kutumika katika uchaguzi wowote nchini, na kwenye uchaguzi huu wa Arumeru haitatumika. Hii yaonyesha ule mpango wao wakuruhusu hata wasio na shahada za kupiga kura wapige kura umekufa. Na hili ni pigo kubwa sana kwao
  3. CDM ilifanya harambee ya SADAKA pale Naura, na walikusanya pesa nyingi tu. Ila mpaka sasa pesa hizo hazija saidia sana chama. Kwani kwa tathmini CCM wao walikuwa wanafanya mikutano takribani 30 kwa siku, CDM wao walikuwa 18 kwa siku. Na CCM hivi sasa watafanya mikutano 50 kwa siku, CDM wao 23 kwa siku. Hii yaonyesha , uwezo mdogo wa CDM kufanya mikutano. Sasa tatizo mwanzo tuliambiwa ni pesa, sasa pesa zipo na mikutano haifanyiki kwa wingi

Thread yako aiongezi kura wala kupunguza!tupa kule
 

CDM sijui nani aliye waroga na karibia wote (viongozi+wanachama+wapenzi) badala yakujibu hoja unaikwepa hoja. Sasa hapo ndipo umejibu nn ? tukisema hata darasa la 7 hukufika km Lema tutakuwa tumekosea?

brown envelope @ work
 
Wakati uchaguzi wa Arumeru Mashariki ukikaribia , hali kwa baaadhi ya vyama vya upinzani ni tete na haitii matumaini kabisa kwa wao kushinda. Hali hiyo ni mbaya zaidi kwa CDM kwani waliyokuwa wakiyategemea sivyo yalivyo.

  1. CDM walitegemea wapiga kura wengi ni vijana. Ila imedhihirika kuwa vijana wengi hawakujiandikisha na hawana sifa yakupiga kura. Kwa maana hiyo basi waamuzi wa Mbunge ajae yako kwa wazee na wanawake. Ambapo makundi haya CDM wameyasahau na kujihusisha na vijana tu
  2. CDM walitegemea utumiaji wa fomu no. 17 uwe ni ukombozi wao. Ila tume ya taifa ya uchaguzi imeisha tangaza kuwa fomu hiyo haijawahi kutumika katika uchaguzi wowote nchini, na kwenye uchaguzi huu wa Arumeru haitatumika. Hii yaonyesha ule mpango wao wakuruhusu hata wasio na shahada za kupiga kura wapige kura umekufa. Na hili ni pigo kubwa sana kwao
  3. CDM ilifanya harambee ya SADAKA pale Naura, na walikusanya pesa nyingi tu. Ila mpaka sasa pesa hizo hazija saidia sana chama. Kwani kwa tathmini CCM wao walikuwa wanafanya mikutano takribani 30 kwa siku, CDM wao walikuwa 18 kwa siku. Na CCM hivi sasa watafanya mikutano 50 kwa siku, CDM wao 23 kwa siku. Hii yaonyesha , uwezo mdogo wa CDM kufanya mikutano. Sasa tatizo mwanzo tuliambiwa ni pesa, sasa pesa zipo na mikutano haifanyiki kwa wingi

Siyo kila jambo ni la kupuuza..! Kuna POINT hapa. Inabidi makamanda wote wahamasishe vijana wote waliojiandikisha waende kupiga kura. Ikumbukwe Mtaji wa CCM ni wazee na Wanawake wanaoogopa mabadiliko pamoja na ujinga wa baadhi ya Watanzania.
 
Kama fomu No.17 haitumiki iliwekwa ya nini,CCM mnaogopa vijana kumbuka watajiandikisha na kumaliza kazi 2015 huna unachokijua nilitegemea CDM wameshindwa kwa hoja kumbe wameshindwa kwa kuwanyima fursa wana Arumeru vijana kuchagua mbunge wao.
Kwa hili unataka watu wajibu hoja gani? weka fair ground kwa watu wote wapige kura uone chagua lao ni lipi?
 
Inashangaza mtu unapotembea kifua mbele kuisapoti CCM. Chama ambacho kimeshaua Watanzania wengi kupitia polisi, wawekezaji nk. Wameua pia sekta ya elimu na afya, hawajali migomo baridi ya walimu na madaktari kwa kuwa wao wanasoma nje, wanatibiwa nje. Uchumi umeanguka kwa namna ambayo haijawahi kutokea wakati ambapo rasilimali zinanuafaisha wageni. Na bado kuna watu wanatumika kama daraja, kufanikisha mambo ya hao wanaopora nchi yetu !!!
 
Back
Top Bottom