TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,712
- 10,209
Wanaelezea ajari ya jana ya mikumi kwa namna ya utan sana kama ni tukio la shangwe au la furaha ambapo kuna wafiwa ambao bado wanamisiba mibichi na majeruh ambao mpaka sasa hawajapatiwa tiba. Tunaomba kibonde na wenzake wake na moyo wa iman