Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,639
hivi huyu radhia sijui alishapotelea wapi
Nimefuatilia mienendo ya baadhi ya wanaJF humu ndani wakimsengenya huyu nguli wa taaluma ya habari bila sababu za kisomi.kwa kuwa tu anatofutiana nao katika misimamo ya kisiasa.
Kwa mfano leo hii muda huu anafanya kwa usadi mkubwa kazi ya MC katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Dar kwenye mkutano wa wadau wa PSPF.
Huyu bwana ni mfano wa kuigwa kwani ni nadhifu,sauti yake nyororo na yko makini kwa kazi yake.
Hili naamini limemfurahisha hata Mzee Mwinyi ambaye ni mgeni rasmi
Nimefuatilia mienendo ya baadhi ya wanaJF humu ndani wakimsengenya huyu nguli wa taaluma ya habari bila sababu za kisomi.kwa kuwa tu anatofutiana nao katika misimamo ya kisiasa.
Kwa mfano leo hii muda huu anafanya kwa usadi mkubwa kazi ya MC katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Dar kwenye mkutano wa wadau wa PSPF.
Huyu bwana ni mfano wa kuigwa kwani ni nadhifu,sauti yake nyororo na yko makini kwa kazi yake.
Hili naamini limemfurahisha hata Mzee Mwinyi ambaye ni mgeni rasmi
Acha Longolongo! We sema umelipwa shilingi ngapi kumfanyia promo huyu MCHARUKO na MCHAFUZI!
hahaaaaaaa yani yule jamaa mambo yake..watu walimpania sana
ina maana neno "kuropoka" ama "mropokaji" wewe hujui maana yake?heee!can u imagine asilimia kubwa ya wachangia wametumia neno ''kuropoka'' lakini hakuna aliyelitolea ufafanuzi?? embu mmoja ajitolee basi ili tujue anaropokaje.
Mmmh bado sijaona point yako, sidhani kama mda wote anakuwa sahihi japokuwa ni mtangazaji mzuri ila ana matatizo ya kuropoka tu, sidhani kama watu wote wote watakuwa wanamponda with no reason..ana mapungufu yake
Sauti yake ni nyororo Mhhhhhhhhhhhh
aache uropokaji,nakumbuka enzi nasoma UDSM alivyosemga mbovu mbofu
nimekumbuka zile moments acha kabisa kesho yake kwenye jahazi akawa mpole
Mpwa na wewe uligoma?
haaaa Mpwa nilikuwepo kwenye. mgomo
Walitoa mpaka mpaka siri ya ugonjwa wake ktk mitandao, alijitahidi kuzifuta lakini watu walikuwa wameshasoma.