Kibonde afungua baa na stationery

Nimefuatilia mienendo ya baadhi ya wanaJF humu ndani wakimsengenya huyu nguli wa taaluma ya habari bila sababu za kisomi.kwa kuwa tu anatofutiana nao katika misimamo ya kisiasa.

Kwa mfano leo hii muda huu anafanya kwa usadi mkubwa kazi ya MC katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Dar kwenye mkutano wa wadau wa PSPF.
Huyu bwana ni mfano wa kuigwa kwani ni nadhifu,sauti yake nyororo na yko makini kwa kazi yake.

Hili naamini limemfurahisha hata Mzee Mwinyi ambaye ni mgeni rasmi

Point yako iko wapii
 
heee!can u imagine asilimia kubwa ya wachangia wametumia neno ''kuropoka'' lakini hakuna aliyelitolea ufafanuzi?? embu mmoja ajitolee basi ili tujue anaropokaje.
 
Nimefuatilia mienendo ya baadhi ya wanaJF humu ndani wakimsengenya huyu nguli wa taaluma ya habari bila sababu za kisomi.kwa kuwa tu anatofutiana nao katika misimamo ya kisiasa.

Kwa mfano leo hii muda huu anafanya kwa usadi mkubwa kazi ya MC katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Dar kwenye mkutano wa wadau wa PSPF.
Huyu bwana ni mfano wa kuigwa kwani ni nadhifu,sauti yake nyororo na yko makini kwa kazi yake.

Hili naamini limemfurahisha hata Mzee Mwinyi ambaye ni mgeni rasmi

Acha Longolongo! We sema umelipwa shilingi ngapi kumfanyia promo huyu MCHARUKO na MCHAFUZI!
 
heee!can u imagine asilimia kubwa ya wachangia wametumia neno ''kuropoka'' lakini hakuna aliyelitolea ufafanuzi?? embu mmoja ajitolee basi ili tujue anaropokaje.
ina maana neno "kuropoka" ama "mropokaji" wewe hujui maana yake?
 
Mmmh bado sijaona point yako, sidhani kama mda wote anakuwa sahihi japokuwa ni mtangazaji mzuri ila ana matatizo ya kuropoka tu, sidhani kama watu wote wote watakuwa wanamponda with no reason..ana mapungufu yake

Tena makubwa sana
 
Nadhani Aliyeanzisha hii thread miezi hiyo hatimaye jibu amelipata weekend hii. Mungu hamfichi mnafki.
 
Mleta mada design una kaa nyagwa hivi,maana haujitambui kulopoka lopoka kwa kibonde ndio unguli wa habari?....tatizo hamuwasikilizi akina General Ulimwengu,kubenea na Asbat Ngurumo hao ndio manguli wa habari kibonde ni takataka kabisa

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Yani kama kibonde anapata muda wa ku peruzi threads za jf, angekuwa haendelei kuropoka ropoka hovyo...
Evidence tosha kwamba jamaa hapendwi...
 
Back
Top Bottom