Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,639
Kumbe kipindi kile anaropoka bado ulikua UDSM??....mmmmh kumbe naweza nikawa Blazaa akoo eeeh
hahahaaaaaaa elimu za kiutu uzima inabidi uwe unanipa salam kabisaaaa
Kumbe kipindi kile anaropoka bado ulikua UDSM??....mmmmh kumbe naweza nikawa Blazaa akoo eeeh
Evelyn Salt hii avatar pic yako kuna mahali nimeiona Kule kwenye kitabu cha usoni. Ni wewe Yule? Ama?Anaropoka sana kama mwanamke....
hahaha....u have just made my day....Njoo Eagle hapa upige fundo kadhaa za kilevihahahaaaaaaa elimu za kiutu uzima inabidi uwe unanipa salam kabisaaaa
Evelyn Salt hii avatar pic yako kuna mahali nimeiona Kule kwenye kitabu cha usoni. Ni wewe Yule? Ama?
hahaha....u have just made my day....Njoo Eagle hapa upige fundo kadhaa za kilevi
Punda unanipeperushia ndege wangu hivi hivi.............hapo Eagle ndo makao makuu ya ugomvi wa walevi
hahaha....u have just made my day....Njoo Eagle hapa upige fundo kadhaa za kilevi
Nimechelewa hii offer ama
hapafungwi pale, hata sasa wee nenda tu
Sijui ni kidume? Eti ana sauti nyororo he he he haloooo ya paka
Nimefuatilia mienendo ya baadhi ya wanaJF humu ndani wakimsengenya huyu nguli wa taaluma ya habari bila sababu za kisomi.kwa kuwa tu anatofutiana nao katika misimamo ya kisiasa.
Kwa mfano leo hii muda huu anafanya kwa usadi mkubwa kazi ya MC katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Dar kwenye mkutano wa wadau wa PSPF.
Huyu bwana ni mfano wa kuigwa kwani ni nadhifu,sauti yake nyororo na yko makini kwa kazi yake.
Hili naamini limemfurahisha hata Mzee Mwinyi ambaye ni mgeni rasmi
sanaa tufanye next time.....Niko na Mentor tunaelekea mkuranga kwa mganga wa kienyeji tukiwahi kurudi nitakuchekiNimechelewa hii offer ama
Picha yangu au ya huyu mwanangu?
hapana sidhani
Aliongea vile kumbe anaishi jirani na mabibo hostel! akili nyingine bana!Sauti yake ni nyororo Mhhhhhhhhhhhh
aache uropokaji,nakumbuka enzi nasoma UDSM alivyosemga mbovu mbofu
nimekumbuka zile moments acha kabisa kesho yake kwenye jahazi akawa mpole
Aliongea vile kumbe anaishi jirani na mabibo hostel! akili nyingine bana!