Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Kwa hiyo...!?
Wakazi wa mwanzo wa Iran ni wayahudi..hivyo ule msemo wa hii 'ardhi hii ni mali ya Mwamedi na allah' ni ujinga kama si ukosefu wa busara.
Kwa hiyo...!?
si umeona lakini balaa gani wanalileta ulimwenguni ujue hiyo kitu ni haramu?jaribuni fikiria basi,kitu chenye hasara nyingi kuliko faida muache!
Ibrahim alikuwa myahudi!? mBona swali dogo tu mnajizungusha zungusha? Ngonjera nyiiingi...! Au ndio swine flu ishapanda kichwani!?
Unataka ujue au unataka ubishe? Au unadhani watu wataenda peponi kwa sababu ya rangi au kabila? Haya basi tuseme Ibrahim alikuwa Mwarabu kutoka Medina..lol
Mtindiowaubongo said:Na nani amekwambia kuwa nimeambiwa ya kuwa wairan ni waarabu?
Kama kuwachukia wayahudi ni uarabu basi na wewe mmatumbi ni mwarabu pia
Dini yako muflis ndio inayohubiri chuki dhidi ya wayahudi na hilo ndio hasa chanzo cha wewe kuendeleza ligi ktk thread hii.. eti mwenyewe unajiita mkereketwa..lol
Mtindiowaubongo said:Wakazi wa mwanzo wa Iran ni wayahudi..hivyo ule msemo wa hii 'ardhi hii ni mali ya Mwamedi na allah' ni ujinga kama si ukosefu wa busara.
Mtindiowaubongo said:Re: Kiboko cha waisrael?
Ibrahim alikuwa myahudi!? mBona swali dogo tu mnajizungusha zungusha? Ngonjera nyiiingi...! Au ndio swine flu ishapanda kichwani!?
Mtindiowaubongo said:Unataka ujue au unataka ubishe? Au unadhani watu wataenda peponi kwa sababu ya rangi au kabila? Haya basi tuseme Ibrahim alikuwa Mwarabu kutoka Medina..lol
MaxShimba said:Yaani mpaka hii leo hujuwi ndugu zako akina Ahmadinejad kuwa ni nani? Kaazi kweli kweli.
Sasa unafikiri Abraham alikuwa mmanga? Lol. Unatia aibu sana XP.
LABDA MAXSHIMBA KASOME QURAN TENA!!Wanyenyekevu kuleni utamu wa creation kwenye tube hii hapa chini. lol
YouTube - 8 days or 6 days of creation according to the Qu'ran.
Hebu tuangalie chronological ya kuumba kutoka kwa allah, jinsi ilivyo ya vituko.
41:9 Say (O Muhammad, unto the idolaters): Disbelieve ye verily in Him Who created the earth in two Days, and ascribe ye unto Him rivals ? He (and none else) is the Lord of the Worlds.
41:10 He placed therein firm hills rising above it, and blessed it and measured therein its sustenance in four Days, alike for (all) who ask;
41:12 Then He ordained them seven heavens in two Days and inspired in each heaven its mandate; and We decked the nether heaven with lamps, and rendered it inviolable. That is the measuring of the Mighty, the Knower.
The Quran, however, has a real problem here as Surah 41:9, 10, 12 have a total of eight days of creation (4+2+2=. Meanwhile, Surah 10:3 gives the total number of days of creation as six. This is a problem of self-contradiction.
Haya leteni aya ya kupinga kuhusu siku. Je ni siku 8 au 6? Hii ni shaka kubwa sana ndani ya koran ya Mwamedi
YouTube - 8 days or 6 days of creation according to the Qu'ran.
LABDA MAXSHIMBA KASOME QURAN TENA!!
siku mbili zilizotajwa na mungu za kuumba ardhi na mbingu ndizo hizohizo na jumla ya ukamilisho ni siku sita.
Do those who are disbelievers not see that the heavens and the earth were sewn together and then We unstitched them and that We made from water every living thing? So will they not have faith? (Surat al-Anbiya': 30)
JAMANI WASHUHUDA HII FULL VIDEO YA LINK ALOTOA HUYU JAMAA ANGALIENI JINSI MWISHO ALIVYOJIBU ASIWAPOTEZE HUYUYouTube - Contradictions in Quran
Swali langu kwako ni hili:
Ibrahim alikuwa Myahudi?
Naamini X-Pastor unajua tofauti ya MYAHUDI na DINI YA KIYAHUDI......
MYAHUDI ni mtu wa uzao wa Yakobo(Israel) mjukuu wa Ibrahimu bila kujali yupo dini gani,kuna wayahudi walio kwenye dini ya kiyahudi,walio waislam na walio wakristo!!
OSAMA BIN LADEN [B said:AGANO LAKALE HAWAKUABUDU ILA YEHOVA? KINA MOSES NA DAUDI SOLOMON NA WENGINE? YANI HAO NI WAYAHUDI AMBAO SIO WAKRISTO JIBU?[/B]
Nakupongeza kwa atleast kufahamu kuwa hao walikuwa kwenye dini ya kiyahudi......,kwani kuna wenzako wengi wamepotoshwa na wanaendelea kupotoshana kuwa hao walikuwa Waislamu.
With time mengineyo utajua kama utapenda kujifunza......
OSAMA BIN LADEN [B said:AGANO LAKALE HAWAKUABUDU ILA YEHOVA? KINA MOSES NA DAUDI SOLOMON NA WENGINE? YANI HAO NI WAYAHUDI AMBAO SIO WAKRISTO JIBU?[/B]
Nakupongeza kwa atleast kufahamu kuwa hao walikuwa kwenye dini ya kiyahudi......,kwani kuna wenzako wengi wamepotoshwa na wanaendelea kupotoshana kuwa hao walikuwa Waislamu.
With time mengineyo utajua kama utapenda kujifunza......
LABDA NIULIZE NA NYINYI MUNGU WENU NI YUPI?
NI YEHOVA? NI YESU? NI ROHO?
AGANO LAKALE HAWAKUABUDU ILA YEHOVA? KINA MOSES NA DAUDI SOLOMON NA WENGINE? YANI HAO NI WAYAHUDI AMBAO SIO WAKRISTO JIBU?
UKIZINGATIA MOSES AMEFUNDISHA MUNGU MOJA TU BI YA MSHIRIKA.
SIKIA EWE ISRAEL BWANA MUNGU WAKO NI BWANA MMOJA MPENDE BWANA MUNGU WAKO KWA MOYO WAKO WOTE USIFANYE MUNGU ILA YEYE
4[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Sikia, Ee Israeli: BWANA Mungu wako, ni BWANA mmoja. [/FONT][/FONT]5[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Mpende BWANA Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote na kwa nguvu zako zote. [/FONT][/FONT]6[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Amri hizi ninazokupa leo zitakuwa katika moyo wako. [/FONT][/FONT]7[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Wafundishe watoto wako kwa bidii. Nena kuhusu amri hizi uketipo nyumbani na wakati utembeapo njiani, ulalapo na uamkapo. [/FONT][/FONT]8[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Zifunge kama alama juu ya mkono wako, zifunge juu ya paji la uso wako. [/FONT][/FONT]9[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Ziandike kwenye miimo ya milango ya nyumba yako na juu ya malango yako.
[/FONT][/FONT]
[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]jibuni swali sio kuzunguka??
[/FONT][/FONT]