huu upupu atakuelewa house girl wenu tu.
Bora ungesema house boy wako,house boy wenu? mimi na nani? jibu hoja kama huna jibu maana upupu umekuwasha tulia ujikune.
huu upupu atakuelewa house girl wenu tu.
Bora ungesema house boy wako,house boy wenu? mimi na nani? jibu hoja kama huna jibu maana upupu umekuwasha tulia ujikune.
Kweli mkuu, lakini nawaza pia kuwa hawa huenda wanatumia silaha zisizotoa sauti kiasi kwamba hata kama vikosi vyetu viko mita 300 tu kutoka eneo la tukio basi wasijue nini kinaendelea. Kibiti ,rufiji, mkuranga, hizi wilaya ni kubwa sana hatuwezi kuweka askari kila eneoNakubali kuna maswali ya kufikirisha
1) Inaonyesha kuna set of rules ambazo wanafwata... na theory kwamba wanaua wale watu ambao tu walifanya dhuluma siyo ya kweli, kama wanauwa kwa ajili ya dhuluma basi inaonyesha hapa itakuwa wanaua wale watu wanao 'represent' hiyo dhuluma... Pi kuna swala la wether hawa wauaji ni wenyeji au sio wenyeji, the fact kwamba wanaomba waonyeshwe waliko viingozi...
2)Swala la pili, iweje hawa watu wawe free hivyo ku walk around the village kufanya rampage hiyo na wakati tumeambiwa Jeshi la Polisi, JWTZ, TISS wote wako huko?!!!!!! Aiseee!
Kweli mkuu hii ya silaha zisizotoa sauti nayo ni tafukuri nyingine ya kuzingatia...Kweli mkuu, lakini nawaza pia kuwa hawa huenda wanatumia silaha zisizotoa sauti kiasi kwamba hata kama vikosi vyetu viko mita 300 tu kutoka eneo la tukio basi wasijue nini kinaendelea. Kibiti ,rufiji, mkuranga, hizi wilaya ni kubwa sana hatuwezi kuweka askari kila eneo
we jamaa wewemkuu, majeshi yetu yalikuwa busy jana kwenye doria ya "mhalifu" Lowasa, walichoka sana hadi wakachelewa kurejea MKIRU mapema, jamaa waka-take advantage. lakini sasa wamerejea hali ni shwari kama tulivyohakikishiwa na Majaliwa!
Ndio huyohuyoMkuu mbunge wao si yule alikuwa anaropoka juzi bungeni kwa kuwatolea maneno ya kashfa wapinzani kwa kujipendekeza kwa Magu wakati jimboni kwake kunawaka moto.
Hao wanakijiji nao waoga sana, ingekuwa wamekuja kukamatwa na POLISI usiku huo wangejifanya kuitana na kufanya vurugu na kila MTU angesikia, ila kwa majambazi wanekaa kimya hata simu hawajapiga na sio kuwa ni tukio la dakika chache, bali ni muda mwingi! Wananchi zindukeni, mnataka kutawaliwa na aya za shetani.
Sikia tu kuambia hivi mazingira ya watu kuuwawa kama ilivyo huko ni nani anaweza kuthubutu kutoka nje wakati unasikia chuma kinalia,acha kuongea usichojuaHao wanakijiji nao waoga sana, ingekuwa wamekuja kukamatwa na POLISI usiku huo wangejifanya kuitana na kufanya vurugu na kila MTU angesikia, ila kwa majambazi wanekaa kimya hata simu hawajapiga na sio kuwa ni tukio la dakika chache, bali ni muda mwingi! Wananchi zindukeni, mnataka kutawaliwa na aya za shetani.
Hivi ni kwamba huko kibiti hao watu wameshindikana kabisa?Inatisha kweli.