Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
hii miahadi ya miaka nenda rudi wanapoteza muda tuu hapo, sioni km kuna jipya hapoo!
Wakati Naibu Speaker akimkaribisha waziri wa Nishati na Madini, ametahadharisha kuwa wabunge walioomba kuchangia ni wengi sana hivyo watakaopewa kipaumbele ni wale ambao hawajawahi kuongea kabisa na wale waliowahi kuchangia mara moja tu. Maana yake ni kwamba watu makini kama Tundu, Mbowe, Zitto, Mdee n.k hatutawasikia. labda wangoje kwenye kamati
Huu ndio ule UTATU USIOKUWA MTAKATIFU niliokuwa naulaani (Kiti cha Speaker, Wabunge wa CCM na Serikali). Watasema sana mwisho utasikia naunga mkono hoja asilimia 100