COURTESY
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 2,006
- 706
kiNdugu zangu kweli wizi nooma!
Nimeshudia live kibaka akipiga kelele baada ya kujaribu kumchomoa wallet mtu mmoja kwenye daladala na kukuta ni nyoka.
Tukio hilo limetokea pale ambapo kibaka huyo baada ya kugundua kuwa mhusika ana wallet mfukoni na kuna kila uwezekano wa kuichukua,ndipo alipojaribu mara ya kwanza kumchomoa huyo jamaa,na kushika kitu kama nyoka, hakuishia hapo akajipa moyo na kiuendelea na zoezi lake,akaingiza tena mkono mfukoni ili aichukue na kisha kumshika NYOKA LIVE,Na hapo hapo kibaka huyo akapiga kelele,"dereva simamisha gari kuna mtu kabeba NYOKA".
Dereva bila hiyana akapaki gari pembeni,ndipo kibaka kuulizwa akampoint jamaa,ikabidi jamaa asachiwe,zoezi likafanyika na jamaa akakutwa hana nyoka....ndipo jamaa akaanza kufunguka kwamba ana dawa na kuionyesha live ambayo ukijaribu tu kumuibia kitu kinageuka kuwa nyoka na akamwambia kibaka,we si umejaribu mara ya kwanza kuiba ukakuta nyoka na bado ukaendelea kuiba...kibaka akakubali huku akitetemeka na kukili kuacha tena wizi.hahahahaha nawasilisha
Nimeshudia live kibaka akipiga kelele baada ya kujaribu kumchomoa wallet mtu mmoja kwenye daladala na kukuta ni nyoka.
Tukio hilo limetokea pale ambapo kibaka huyo baada ya kugundua kuwa mhusika ana wallet mfukoni na kuna kila uwezekano wa kuichukua,ndipo alipojaribu mara ya kwanza kumchomoa huyo jamaa,na kushika kitu kama nyoka, hakuishia hapo akajipa moyo na kiuendelea na zoezi lake,akaingiza tena mkono mfukoni ili aichukue na kisha kumshika NYOKA LIVE,Na hapo hapo kibaka huyo akapiga kelele,"dereva simamisha gari kuna mtu kabeba NYOKA".
Dereva bila hiyana akapaki gari pembeni,ndipo kibaka kuulizwa akampoint jamaa,ikabidi jamaa asachiwe,zoezi likafanyika na jamaa akakutwa hana nyoka....ndipo jamaa akaanza kufunguka kwamba ana dawa na kuionyesha live ambayo ukijaribu tu kumuibia kitu kinageuka kuwa nyoka na akamwambia kibaka,we si umejaribu mara ya kwanza kuiba ukakuta nyoka na bado ukaendelea kuiba...kibaka akakubali huku akitetemeka na kukili kuacha tena wizi.hahahahaha nawasilisha