Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
Mhasibu alitoweka na 23M miaka 9 iliyopita, sasa anapiga simu kuwa amerudi na ameokoka, anataka kurudisha hiyo pesa (23M ) Lakini kwa masharti kuwa kesi IFUTWE. Je sheria inasemaje kwa mtu kama huyo, ni adhabu gani inayomkabili kama nikisisitiza kumtia mbaloni?
Kunatakiwa ulinganifu wa 23M kwa mika 9 na adhabu atayoipata, na kuona kama ni heri kumwachia au kumkomalia!
Wanazuoni tafadhali
Kunatakiwa ulinganifu wa 23M kwa mika 9 na adhabu atayoipata, na kuona kama ni heri kumwachia au kumkomalia!
Wanazuoni tafadhali