Nchi inadumaa kwa sababu hatutaki kuandamana kupinga mfumo mbovu wa serikali.jamani tumechoka maandamano, tufanye kazi kwa maendeleo ya taifa letu changa. Kila siku kuandamana tu, halafu nchi ikidumaa mnaanza kuitupia lawama CCM
@ Dr.slaa
je ikitokea kuna ushirikiano wa mali baina ya rizwan na rais wa Tanzania , nini utakuwa msimamo wako juu ya jambo hili?
note:mali hizo ziwe hazijatokana na njia safi.
Mtaje uyo mwenzie ni nani. Unaogopa kutaja jina la Simba wa Tanzania?Sehemu kubwa ya mada tunazoendelea nazo naona zimejaa gilba na roho wa fitina, wivu nashauri tujirekebishe kama jukwa la wataalamu/watafiti wa mambo tuje na scientific argument. angalia issue ya general shimbo kakutwa na a/c ya shs 3/= tirion na mara kahojiwa na kwa sasa kapigwa stroc kitu ambacho ni uongo mtupu. HIVYO HATA HILI R1 UONGO MTUPU KAMA KWELI TUICHE MAHAKAMA IFANYE KAZI. MTIKILA NA HUYO MWENZIE WAKATHIBITISHE MAHAKAMANI
Umma wa watanzania uliodhulumiwa na serikali ya baba yake unamsubiri kwa hamu amalize huo muda anaovuta ili ukamvue bukta na kumwacha mtupu huko mahakamani. Nadhani huo ndiyo utakuwa mwisho wa kejeli na uhayawani tuliotendewa na wahuni na vibaka hawa.Ridhiwan haogopi mtu. Anachofanya ni kuvuta muda kwasababu ana vitu vingi anataka kulipua. Kama hamna taarifa ulizeni.
Ndio maana nikasema hapa tunachezewa kiini macho.....Dr Slaa na Mtikila walisema wana ushahidi nao wakakaa kimya...haya naye tukaambiwa Riz amefungua kesi mahakamani.....nako mahakamani kimya.Jamani siku nyingine someni magazeti ya Kiingereza. Mbona Ridhuani alishafungua kesi mahakamani ya madai dhidi ya Dr. Slaa na Rev. Mtikila kama wiki tatu zimepita sasa. The Citizen iliandika hii habari.
Wewe unashauri iweje?? Maana sio kila swali lazima Slaa alijibu.
<br />Ridhiwan haogopi mtu. Anachofanya ni kuvuta muda kwasababu ana vitu vingi anataka kulipua. Kama hamna taarifa ulizeni.
Jibu hoja kama una maslah na huyo ****** jr hela za vituo vya kuuzia mafuta (lake oil),kusafrisha mafuta nchi jirani (congo na zambia),masemi trailer 100,yard za magari n.k kazipataje huyu mwendawazimu kwa muda wa miaka michache hyo? kwa kuwa unaingilia suala lisilokuhusu tuambie bas we fox (mbweha)
We radhia,nchi imedumazwa na JK na huyo swetie wako pamoja na genge lao la magamba.usipotoshe watu.jamani tumechoka maandamano, tufanye kazi kwa maendeleo ya taifa letu changa. Kila siku kuandamana tu, halafu nchi ikidumaa mnaanza kuitupia lawama CCM
<br /> <br / imeandikwa wapi mtoto wa rais atumie pesa za wananch kufanya mabiashara yake?Imeandikwa wapi mtoto wa Rais asifanye biashara?
mchumia tumbo angalia utavimbiwa!!!!!!!!!!!jamani tumechoka maandamano, tufanye kazi kwa maendeleo ya taifa letu changa. Kila siku kuandamana tu, halafu nchi ikidumaa mnaanza kuitupia lawama CCM