B Bulesi Platinum Member May 14, 2008 14,211 13,726 Aug 25, 2012 #21 cacico said: kesi hii yatufundisha nini?? kudos kwako babu Mtambuzi. Click to expand... Kesi hii inatufundisha jinsi ushirikina unavyoweza kuwa chanzo cha mauaji ya watu katika jamii.
cacico said: kesi hii yatufundisha nini?? kudos kwako babu Mtambuzi. Click to expand... Kesi hii inatufundisha jinsi ushirikina unavyoweza kuwa chanzo cha mauaji ya watu katika jamii.
Ndahani Platinum Member Jun 3, 2008 18,119 9,049 Aug 25, 2012 #22 Kimbweka said: Dah haya majina " MZEE MAKENDE" Click to expand... Teh teh teh...kila mtu ana maeneo yake ya kujidai na kila mtu ana fani yake, Kimbweka... Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Kimbweka said: Dah haya majina " MZEE MAKENDE" Click to expand... Teh teh teh...kila mtu ana maeneo yake ya kujidai na kila mtu ana fani yake, Kimbweka...
Mtoboasiri JF-Expert Member Aug 6, 2009 5,101 1,949 Aug 25, 2012 #23 Kimbweka said: Dah haya majina " MZEE MAKENDE" Click to expand... Kimbweka usinge-comment kuhusu hilo jina ningeshangaa mno. Ila taratibu mkuu, hapa sio jukwaa lileee...!
Kimbweka said: Dah haya majina " MZEE MAKENDE" Click to expand... Kimbweka usinge-comment kuhusu hilo jina ningeshangaa mno. Ila taratibu mkuu, hapa sio jukwaa lileee...!
mdida JF-Expert Member Jul 14, 2011 1,607 772 Aug 27, 2012 #24 Kaka big up sana, unatufunza mengi kuhusu kesi za hapa nyumbani na huko ulaya keep it up
piper JF-Expert Member Jan 17, 2012 3,253 612 Aug 27, 2012 #25 It was another gud friday, cku ya kutafuta kisa toka Kwa Mtambuzi, big up 4 a nyc narration
Mkimbizi JF-Expert Member Aug 23, 2008 222 34 Aug 28, 2012 #26 Mtambuzi, as always. Mungu akuzidishie zaidi kwa kutupa stories zenye kuleta hisia. Najifunza kila siku kutokana na posts zako
Mtambuzi, as always. Mungu akuzidishie zaidi kwa kutupa stories zenye kuleta hisia. Najifunza kila siku kutokana na posts zako
chokambayaa JF-Expert Member Nov 1, 2010 543 69 Aug 29, 2012 #27 Mtambuzi i salute u, hakika simulizi zako zinasisimua na kufundisha big up man....