Alisikika Jaji Mkuu kwenye hafla ya kuapishwa Jaji Siyani:
"Hukumu zenu zizingatie mitizamo ya mihimili mingine."
Tulipo sasa tumemalizana na shahidi ambaye ushahidi wake umepokelewa kama ulivyo. Hii ni pamoja na kukutwa akiwa na maandiko ya chabo yaliyo batili kizimbani.
Huyu ni shahidi anayethibitisha kupokea exhibit (detention register) kutokea mahakamani bila ya yeye kuiomba wala kusaini popote (hali ya kustaabisha).
Exhibit hii anayosema ilikoma kutumika kutokea 12 August 2020, ni yenye kusajili mahabusu kwa jinsi wanavyokuja na kutoka.
Hata hivyo pamoja na kuthibitisha kuwa entries zake hupaswa kufuatana (sequentially) kwa tarehe, kunaonekana:
#392 - Mohammed Ling'wenya 12/8/2020
Wakati entries nyingi nyingine kwa mfano:
#114 kuna mtuhumiwa aliingia 30/7/2021
#156 kuna mtuhumiwa aliingia 3/8/2021
Nk, nk.
Nini maana ya mivurugano hii kutokea kwenye dola, katikati ya haki za watu?
Kwanini njia za kisayansi zilizopo mikononi mwa serikali hazitumiki kuufichua ukweli na kuacha haki kutamalaki?
Au ni kwamba tuna uongozi tu uliodhamiria kuwanyang'anya watu haki zao pasipokuwa na uhalali wowote?
Umoja gani wa taifa lipi unaoweza kutumainiwa wapi katika hali kama hizi?
"Hukumu zenu zizingatie mitizamo ya mihimili mingine."
Tulipo sasa tumemalizana na shahidi ambaye ushahidi wake umepokelewa kama ulivyo. Hii ni pamoja na kukutwa akiwa na maandiko ya chabo yaliyo batili kizimbani.
Huyu ni shahidi anayethibitisha kupokea exhibit (detention register) kutokea mahakamani bila ya yeye kuiomba wala kusaini popote (hali ya kustaabisha).
Exhibit hii anayosema ilikoma kutumika kutokea 12 August 2020, ni yenye kusajili mahabusu kwa jinsi wanavyokuja na kutoka.
Hata hivyo pamoja na kuthibitisha kuwa entries zake hupaswa kufuatana (sequentially) kwa tarehe, kunaonekana:
#392 - Mohammed Ling'wenya 12/8/2020
Wakati entries nyingi nyingine kwa mfano:
#114 kuna mtuhumiwa aliingia 30/7/2021
#156 kuna mtuhumiwa aliingia 3/8/2021
Nk, nk.
Nini maana ya mivurugano hii kutokea kwenye dola, katikati ya haki za watu?
Kwanini njia za kisayansi zilizopo mikononi mwa serikali hazitumiki kuufichua ukweli na kuacha haki kutamalaki?
Au ni kwamba tuna uongozi tu uliodhamiria kuwanyang'anya watu haki zao pasipokuwa na uhalali wowote?
Umoja gani wa taifa lipi unaoweza kutumainiwa wapi katika hali kama hizi?