Kesi ya Mbowe Novemba 4, 2021: Mrakibu Mwandamizi wa Jeshi la Polisi, Sebastian Madembwe atoa ushahidi. Kesi yaahirishwa hadi Novemba 5, 2021

hawa askari walikuwa wanatunga hadithi ambayo ilikosa uhariri......project ya hovyo kabisa....kibaya sana WANACHEZEA FEDHA ZA WANANCHI WAZI WAZI.....TUNAKATWA MITOZO wanachezea fedha kulipana lipana kwenye kesi ya maigizo
Yaani kila nikipata nafasi ya kukwepa KODI ya serikali nitafanya hivyo.Haiwezekani nikupe Kodi inayoenda kuharibiwa hivi.Yaani nimeumia yule Shahidi ANITHA (Muuza Mbege) kuja Dsm ana Kula na kunywa bure kule MASAKI Kwa Kodi yangu halafu anakuja kutoa ushahidi wa Uongo.
 
Huyo Shahidi SSP MADENGE tayari ni muongo,hawezi kuwa aliajiriwa 2/9/1999(hakukuwa na Depo CCP iliyomaliza Mafunzo tarehe hiyo)
Nakumbuka 1998 jamaa zangu wengi niliomaliza nao six walijiunga na Jeshi hili, hivyo siamini kama 99 kukikuwa na ajira tena
 
Nakuona Jo
giphy.gif
Mkuu Mshana Jr ,huyu johnthebaptist ni huyu hapa.
JamiiForums-1452463894.jpg
 
Mm naona hapa Jaji ni msimamizi wa kituo cha kupigia kura, mawakili wa serikali ni makarani wake na polisi ni Mkurugenzi mtendaji mwenye kadi ya chama. Jaji naona anapiga simu hapa na kuuliza kiupole imekuwa kuwaje tena. Ila amesema sawa ila tuwe makini.
 
Jeremiah Mtobesya amegundua jina la shahidi wa Jamhuri limekosewa (lakini sio shida) akabaini kwamba kwenye Committal Proceedings hawakuonyesha maelezo ambayo atakuja kufafanua mahakamani na hawakutumia CPA 289 kuomba kiingizwe. Hivyo ushahidi wa SSP Sebastien Madembwe ni BATILI.

martin
 
Kifungu cha 246(2) kinaeleza kila ushahidi ambao utatumika dhidi ya mtuhumiwa, uandikwe na kusomwa kwenye Committal Proceedings (subordinate Court). Sheria imesema ni LAZIMA. Adv. Mtobesya anasema ushahidi unaotolewa leo haupo kwenye ‘commital bundle’ na hivyo haukusomwa.

Martin
 
Baada ya jana kuahirishwa, Kesi ya mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe inaendelea kuunguruma leo mahakamani. Jana kesi iliahirishwa kutokana shahidi kupata dharura ya kiafya na upande wa utetezi haukutoa kikwazo chochote kwenye sababu hiyo. Jaji aliahirisha mpaka leo. Kuwa nami...
Jamuhuri inataka kufanya uhuni. Pamefika Patamu kufahamu kama Jaji amewekwa kimkakati ama laa
 
Back
Top Bottom