King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,672
- 68,637
Wadau wenye update kesi ya lulu leo 23/04/2012 watupe!!
Nawasilisha
Nawasilisha
amehukumiwa kifungo cha maisha, kwishney
Ameachiwa huru hana kesi ya kujibu, vipi nasikia Kanumba amefufuliwa na Dr Manyaunyau?
Amechapwa viboko 10 vya masaburini then akaachiwa.over
Dah watu mna muda kweli hadi mnaanza kufuatilia kesi za watu
Dah watu mna muda kweli hadi mnaanza kufuatilia kesi za watu
Dah watu mna muda kweli hadi mnaanza kufuatilia kesi za watu
Maskini "Sege-dance" tena mpaka May 7,hatari