Nataka kujuwa maisha ya lulu sasa hivi yako vipi?
yeye mwenyewe kajichimbia,media zinajua katoka yupo kitaa.
Ila watu hamtakiwi kujua inshort kametulia hata kiwanja hakaendi kakitoka na baibui na nikabu...
Chezea segedansi weye
Jamani acheni uongo,uzushi, na kuropoka.. kwani lazima upost? Sema kama ni hisia zako,sawa.Usiconclude.
Lulu yupo Segerea,kaupokea mwaka mpya Segerea. Wenye mapenzi mema dua zenu zinahitajika,katika kipindi hiki cha kesi yake akiwa gerezani,na hata atakapopata dhamana..
Na maisha yake baada ya hapo..