Invisible
Robot
- Feb 11, 2006
- 9,075
- 7,878
Wakuu,
Endapo kilichoambatanishwa ndiyo mashtaka dhidi yao basi tujue kazi ipo mbele yetu. Serikali itadaiwa mabilioni na tutakuwa tumechezea akili za watu na kupoteza heshima ya taifa!
Viva, GoT, Viva wanasheria wetu mnaofungua mashtaka ya namna hii.
Safari ni ndefu sana!
Endapo kilichoambatanishwa ndiyo mashtaka dhidi yao basi tujue kazi ipo mbele yetu. Serikali itadaiwa mabilioni na tutakuwa tumechezea akili za watu na kupoteza heshima ya taifa!
Viva, GoT, Viva wanasheria wetu mnaofungua mashtaka ya namna hii.
Safari ni ndefu sana!