quimby_joey
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 390
- 164
JF mwenye kufahamu kesi ya jaji Rugazia imefikia wapi anijuze
sidhani kama ana kesi. alishitakiwa mahakama gani? aligonga watu wakafa ndio, lakini hakuna kesi iliyo fikishwa mahakamani.
macinkus
Are you sure of this??? kinga hiyo ni kwa makosa gani naomba ufafanuzi kidogoMajaji wana kinga ya kushitakiwa......hata kukamatwa ni tatizoo wana kinga kubwa sanaa
Majaji wana kinga ya kushitakiwa......hata kukamatwa ni tatizoo wana kinga kubwa sanaa