Chidumule alishatoa ushuhuda baada ya kuokoka kuwa kwenye mziki wa dansi kuna ushirikina wa kutisha. Usikute wa akina Babu Seya walikuwa wanatimiza mashariti ya sangoma.Baba na wanae kukubaliana kushare wanawake..Inashangaza..
Baba na wanae kukubaliana kumnjunja mwanaume mwenzao..Ni kosa
Baba na wanae kukubaliana kumbaka binti mdogo wa kike..Kosa lenye makosa
Lakini baba na wanae kukubaliana kuwalawiti watoto wadogo wa kiume..Kosa kubwa lenye makosa..Inashangaza sana..Sometimes ni ngumu hata kuamini..
kwa asilimia kubwa hapa ni ushirikina aisee..Japo wapo wanaosema hawa jamaa walikuwa wanatengeneza video zen wanaenda kuziuza njeChidumule alishatoa ushuhuda baada ya kuokoka kuwa kwenye mziki wa dansi kuna ushirikina wa kutisha. Usikute wa akina Babu Seya walikuwa wanatimiza mashariti ya sangoma.