Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Ndugu wanajamvi,
natumia fursa hii kuwapeni taarifa kwamba ile kesi ya kupinga kusajiliwa kwa tuzo ya Dowans itatajwa mahakama kuu DSM kesho tarehe 2/3/2011 asubuhi saa tatu mbele ya Jaji Mushi.
Pingamizi hii imefunguliwa na wanaharakati watatu kwa niaba ya watz wote. Hivyo tunaomba mshikamano kwa kuhudhuria mahakama kuu hapo kesho kwa wingi. Tuoneshe kwa vitendo kwamba hatupende serikali ilipe Dowans Tshs 95bil. Inashauriwa tufike mahakamani saa mbili na nusu asubuhi ili jaji atakapo ingia saa tatu basi watu wawe wameshakaa na kuwe na utulivu.
Naomba kuwasilisha.
natumia fursa hii kuwapeni taarifa kwamba ile kesi ya kupinga kusajiliwa kwa tuzo ya Dowans itatajwa mahakama kuu DSM kesho tarehe 2/3/2011 asubuhi saa tatu mbele ya Jaji Mushi.
Pingamizi hii imefunguliwa na wanaharakati watatu kwa niaba ya watz wote. Hivyo tunaomba mshikamano kwa kuhudhuria mahakama kuu hapo kesho kwa wingi. Tuoneshe kwa vitendo kwamba hatupende serikali ilipe Dowans Tshs 95bil. Inashauriwa tufike mahakamani saa mbili na nusu asubuhi ili jaji atakapo ingia saa tatu basi watu wawe wameshakaa na kuwe na utulivu.
Naomba kuwasilisha.