Ochu
JF-Expert Member
- May 13, 2008
- 975
- 47
wakati kesi ya mgombea binafsi inategemewa kuskilizwa tarehe 8 April mbele ya majaji saba mahakama imemteua DPP wa Zanzibar bwana Othman Masoud kuwa rafiki wa mahakama. rafiki huyu mpya ataungana na wengine wawili waliteuliwa mwanzoni Prof. Palamagamba Kabudi na Prof. Jwani Mwaikusa....naona mahakama inaipa kesi uzito unaostahili....