The Dude
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 1,029
- 453
Juzi nilipendekeza hapa kuwa sheria ya mchakato wa uundwaji wa katiba mpya inaweza kuwa challenged mahakama kuu kwa kukinzana na katiba.
Leo mwananchi limeripoti na kumnukuu rais wa Tanganyika Law Society ndugu Stolla kuwa maandalizi yamekamilika kufungua kesi hiyo mahakama kuu.
Sheria hiyo inakinzana na ibara ya 18 ya uhuru wa maoni kwa kucriminalize shughuli yoyote ya kuelimisha kuhusu katiba nje ya sheria hiyo.
Sababu nyingine ni procedural irregularity kwa sababu kama mnavokumbuka ni kwamba muswada wa sheria hiyo ulikuwa withdrawn na ulivorudishwa ukapitishwa kana kwamba umesomwa mara ya tatu.
Tusubiri lakini binafsi naona dalili ni njema ingawaje ground ya pili ndio ina nguvu kwa sasa nadhani kwa sababu zifuatazo.
Hiyo ground ya kwanza mahakama inaweza kudeclare hicho kipengele void tothe extent of inconcistence na katiba na sheria yenyewe kama yenyewe ikaendelea.
Lakini hiyo ground ya pili ikibainika na mahakama kweli procedure zilikiukwa basi sheria nzima inaweza kubatilishwa yani kuwa nullified na hivyo tukaanza mwanzo..which is what i pray for.
Leo mwananchi limeripoti na kumnukuu rais wa Tanganyika Law Society ndugu Stolla kuwa maandalizi yamekamilika kufungua kesi hiyo mahakama kuu.
Sheria hiyo inakinzana na ibara ya 18 ya uhuru wa maoni kwa kucriminalize shughuli yoyote ya kuelimisha kuhusu katiba nje ya sheria hiyo.
Sababu nyingine ni procedural irregularity kwa sababu kama mnavokumbuka ni kwamba muswada wa sheria hiyo ulikuwa withdrawn na ulivorudishwa ukapitishwa kana kwamba umesomwa mara ya tatu.
Tusubiri lakini binafsi naona dalili ni njema ingawaje ground ya pili ndio ina nguvu kwa sasa nadhani kwa sababu zifuatazo.
Hiyo ground ya kwanza mahakama inaweza kudeclare hicho kipengele void tothe extent of inconcistence na katiba na sheria yenyewe kama yenyewe ikaendelea.
Lakini hiyo ground ya pili ikibainika na mahakama kweli procedure zilikiukwa basi sheria nzima inaweza kubatilishwa yani kuwa nullified na hivyo tukaanza mwanzo..which is what i pray for.